WAISLAMU WASIOFUNGA RAMADHAN HUKO SENEGAL

Status
Not open for further replies.

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,142
13,216
Wakati Waislamu kote duniani wanajiandaa kusherehekea sikukuu ya Idd ul fitr siku ya Jumatano ikiwa ni kuhitimisha kilele cha mwezi mzima wa ibada pasi na kula wala kunywa kuanzia alfajiri hadi jioni, Waislamu wa Dhehebu la Baye Fall wanaofuata itikadi ya Sufi hawaamini katika KUFUNGA kwani Imani yao inawataka wajinyime na kuwalisha jamii wasiojiweza wanaofunga WAKIAMINI kwamba thawabu wanazopata ni kubwa mno kuliko kujenga misikiti 1000@@.
pichani wanaonekana wakiwa wamebeba masinia ya vyakula kuwapelekea wanaofunga...........


 
Yeah ni jambo zuri,maana kama mtu unafunga huku kichwani ukiwaza futari upike nini kati ya maini na samaki ilhal kuna wenzako hawana hata uhakika wa uji na unawaona ila unajifanya kichwa ngumu unafunga nini kama sio kushinda njaa?kama imani yao yawaruhusu sidhani kama ni tatizo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom