Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Kampuni ya Zaim Education Development Limited,ni kampuni iliyoanzishwa na Mwalimu Ally A. Ally--ambaye ndio Mkurugenzi wa Elimu Bakwata Makao Makuu na ndugu yake Mufti Abubakar Zuberi .Kampuni ambayo imepewa kuendesha shule kumi za Bakwata,ikiwemo shule ya Bondeni Secondary Arusha,kazi ambayo kimsingi ndio kazi ya Kurugenzi ya Elimu Bakwata Makao Makuu(kazi ya Mwalimu Ally).
Jambo hilo limeleta vurugu kubwa kwa waislamu kiasi cha baadhi yao kuamua kuamua kuwahamisha watoto wao wabaosima katika shule zinazoendeshwa na taasisi ya dini ya Bakwata wakidai kuwa kiwango cha elimu kimeshuka na usimamizi Wa shule hiyo umepungua
Kampuni ya Zaim ilianzishwa kinyemela na mufti zubari kwa kazi ya kuingia mkataba wa uendeshaji wa shule/vyuo vya Bakwata tu,isiyo na uzoefu wa uendeshaji wa shule au chuo chochote nchini.
Ni aibu kwa mkurugenzi wa Elimu Mwalimu Ally A. Ally baada ya kushindwa kuendesha shule na vyuo vya Bakwata kuamua kubinafsisha uendeshaji kwa kampuni yake binafsi iliyoundwa kwa kumtumia Bwana Abubakar Juma,kwa vile tu Mwalimu Ally yupo karibu na Mufti Abubakar Zubeir na undugu wake na Mufti Abubakar Zubeir.
Mwalimu Ally A. Ally ndio pia mkurugenzi wa Alharamain Islamic Seminary na Chuo cha Ualimu Alharamain,taasisi ambazo zimekuwa zinakopa fedha benki kwa kutumia dhamana mbalimbali za Bakwata,hata kupelekea madeni makubwa yasiyolipika toka Benki.
Mwalimu Ally A. Ally anatumia vibaya undugu wake na ukaribu wake na Mufti Abubakar kujitajirisha na kuwatesa walimu maskini ambao hawalipwi jasho lao halali,tena na taasisi kubwa ya dini Bakwata.
Jambo hilo limeleta vurugu kubwa kwa waislamu kiasi cha baadhi yao kuamua kuamua kuwahamisha watoto wao wabaosima katika shule zinazoendeshwa na taasisi ya dini ya Bakwata wakidai kuwa kiwango cha elimu kimeshuka na usimamizi Wa shule hiyo umepungua
Kampuni ya Zaim ilianzishwa kinyemela na mufti zubari kwa kazi ya kuingia mkataba wa uendeshaji wa shule/vyuo vya Bakwata tu,isiyo na uzoefu wa uendeshaji wa shule au chuo chochote nchini.
Ni aibu kwa mkurugenzi wa Elimu Mwalimu Ally A. Ally baada ya kushindwa kuendesha shule na vyuo vya Bakwata kuamua kubinafsisha uendeshaji kwa kampuni yake binafsi iliyoundwa kwa kumtumia Bwana Abubakar Juma,kwa vile tu Mwalimu Ally yupo karibu na Mufti Abubakar Zubeir na undugu wake na Mufti Abubakar Zubeir.
Mwalimu Ally A. Ally ndio pia mkurugenzi wa Alharamain Islamic Seminary na Chuo cha Ualimu Alharamain,taasisi ambazo zimekuwa zinakopa fedha benki kwa kutumia dhamana mbalimbali za Bakwata,hata kupelekea madeni makubwa yasiyolipika toka Benki.
Mwalimu Ally A. Ally anatumia vibaya undugu wake na ukaribu wake na Mufti Abubakar kujitajirisha na kuwatesa walimu maskini ambao hawalipwi jasho lao halali,tena na taasisi kubwa ya dini Bakwata.