Waislamu wamtuhumu Mufti Abubakari Zuberi kujimilikisha shule kumi za BAKWATA

Hivi hakuna mfumo wa kuendesha hizo shule au ni kila kiongozi akiamua anachukua yakwake?
 
Naamini kuipata pepe nimungu tuu atuhurumie manager imani yakweli hatuna na umuonae yupombele ki imanii kumbe huwa yupombele kimaslahi kwakutumia imani mwenyeezimungu awaswamehh. Kama ni yakweli hayooo
 
Acheni kuziita shuleni zenu Seminary.Seminary gani zina matokeo kama shule za kata.Bakwata na nyie wekezeni kwenye hizi shule na vyuo mtasababisha watoto na wajukuu waishi maisha magumu sana
 
Ni tanzania tu naamini kutwa kutembeza vibakuli vya sadaka misikitini, ni Tanzania tu ngumi kupigwa misikitini ni kawaida, Tanzania tu fitna zinaanzia misikitini kwa kiwango kikubwa, Ni Tanzania tu waislamu wanauza mali za waislamu kwa speed kuliko kununua. Bakwata ni ugonjwa mkubwa. sijui kama kuna nchi zingine zinafanya hivi mimi naongelea niliko bahatika kufika mimi hakuna vibakuli vya kuomba kuomba maana kuna watu wanajitolea kwa kila kitu au wanajitosheleza wenyewe. Njaa ni mbaya unaweza kuuza utu na ndio waislamu tuko huko.
 
Hiyo shule ya bonden ni hovyo hovyo tu utadhan sio shule. Kuna shule nyingine pia inaitwa Arusha boys Islamic sec school, watoto hawafundishwi, muda mwing ni kucheza nje na kuswali. Shule nzima walimu permanent hawazid watatu halaf nao sio professional bal ni makanjanja tu. Huwa nashangaa sana kuona wazaz wamewapeleka watoto wao wasome hapo. Kwa shule ya Arusha girls Islamic sec school kidogo afadhal watoto wanasoma na inatia Moyo.
 
Taasisi yeyote lazima waendeshaji wawe na elimu ktk shughuli husika siyo kupeana tu kwa kuwa huyu ni dini yangu basi atafaa,Waislamu acheni udini na kama mnataka kuendeleza hizo taasisi za elimu toeni ajira kwa watu wenye weledi na hizo kazi bila kuangalia huyu ni wa dini yenu au ni kafiri au katoka Pemba au Unguja au msukuma au mchaga nk
Toeni ajira kwa wenye weledi wa uendeshaji shule zenu maana zimekuwa shule ambazo hata nyie wenyewe mnazikimbia tena unakuta mnapeleka watoto wenu kwenye shule za katoliki ambao hawana ubaguzi mfano Rais mstafu kikwete alisoma huko wakati ni muislami
 
Back
Top Bottom