Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Ndugu zanguni naomba niulize hii hali ya kuaga mati mmeanza lini
mwili wa mh kanali gadafi unatarajiwa kupewandugu zake leo usiku
baada ya kukaa kwenye bucha moja na watu kutoa heshima zao za mwisho
habari zaidi zinasema watu wamekuwa wakiminika kuaga mwili huo lakini
hali yake inaelekea kuwa mbaya nahivyo viongozi wa ntc wameona wawape ndugu zao
wakauzike ....
Kwa habari zaidi soma gazeti la nipashe
swali langu waliomuua gadafi ni waislamu ama wakristo.na je ntc inaongozwa na dini gani
je ni sahihi kumtia aibu bw yule kwa mabaya yottee aliotenda kwa kumweka kwenye bucha
loh kwelimalipo hapa hapa duniani.....
mwili wa mh kanali gadafi unatarajiwa kupewandugu zake leo usiku
baada ya kukaa kwenye bucha moja na watu kutoa heshima zao za mwisho
habari zaidi zinasema watu wamekuwa wakiminika kuaga mwili huo lakini
hali yake inaelekea kuwa mbaya nahivyo viongozi wa ntc wameona wawape ndugu zao
wakauzike ....
Kwa habari zaidi soma gazeti la nipashe
swali langu waliomuua gadafi ni waislamu ama wakristo.na je ntc inaongozwa na dini gani
je ni sahihi kumtia aibu bw yule kwa mabaya yottee aliotenda kwa kumweka kwenye bucha
loh kwelimalipo hapa hapa duniani.....