Waislamu mmeanza lini kusabahi maiti? Gadafi awekwa kwenye bucha watu waanza kumuaga

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
Ndugu zanguni naomba niulize hii hali ya kuaga mati mmeanza lini
mwili wa mh kanali gadafi unatarajiwa kupewandugu zake leo usiku
baada ya kukaa kwenye bucha moja na watu kutoa heshima zao za mwisho
habari zaidi zinasema watu wamekuwa wakiminika kuaga mwili huo lakini
hali yake inaelekea kuwa mbaya nahivyo viongozi wa ntc wameona wawape ndugu zao
wakauzike ....
Kwa habari zaidi soma gazeti la nipashe

swali langu waliomuua gadafi ni waislamu ama wakristo.na je ntc inaongozwa na dini gani
je ni sahihi kumtia aibu bw yule kwa mabaya yottee aliotenda kwa kumweka kwenye bucha
loh kwelimalipo hapa hapa duniani.....
 
Ndugu zanguni naomba niulize hii hali ya kuaga mati mmeanza lini
mwili wa mh kanali gadafi unatarajiwa kupewandugu zake leo usiku
baada ya kukaa kwenye bucha moja na watu kutoa heshima zao za mwisho
habari zaidi zinasema watu wamekuwa wakiminika kuaga mwili huo lakini
hali yake inaelekea kuwa mbaya nahivyo viongozi wa ntc wameona wawape ndugu zao
wakauzike ....
Kwa habari zaidi soma gazeti la nipashe

swali langu waliomuua gadafi ni waislamu ama wakristo.na je ntc inaongozwa na dini gani
je ni sahihi kumtia aibu bw yule kwa mabaya yottee aliotenda kwa kumweka kwenye bucha
loh kwelimalipo hapa hapa duniani.....

Defame..
 
kwenye maandamano ya arusha kati ya walio kufa alikuwepo Ismail na siku ya kuwaombea maiti ililetwa kwenye viwanja vya nmc japo hakufunguliwa kama ilivyofanyika kwa mkristo lakini kitendo hicho waislam walikipinga kwa nguvu sasa leo gaddafi tusubiri bakwata watoe tamko la kulani kitendo hicho..
 
NdNdugu zetu waarabu wamepotoka.Wanamkosea mungu kwa lile neno Allah Akbar wakati wanafanya vitendo vya kinyama.huo ni udhalilishaji wa dini.
 
Soon wataanza kulia, mi nipo hapa!mungu hajafurahishwa na ndo maana washaanza kutofautiana!
 
NdNdugu zetu waarabu wamepotoka.Wanamkosea mungu kwa lile neno Allah Akbar wakati wanafanya vitendo vya kinyama.huo ni udhalilishaji wa dini.

si hata Gadafi naye alipo ua wapinzani wake alishangilia kwa Allahu Akbaru, au!
 
Mbaya zaidi waislam wote wako kimya wakati maiti ya mwislam wenzao inaagwa ikiwa nusu uchi. Hiki kitendo kingefanywa na NATO au nchi nyingine kwa kuianika maiti ya mwislam buchani tena ikiwa nusu uchi,waislam wangepiga kelele sana. Leo wao na NATO ni chanda na pete, ila kesho wasije piga kelele kwamba ukristo unatawala dunia au usislam unadhalilishwa. wakati wameshaionyesha dunia kwamba ni sawa maiti ya mwislam kuagwa hata ikiwa nusu uchi sio vibaya, na hata ikikaa zaidi ya siku nne bila kuzikwa nako sio vibaya pia.
 
Mbaya zaidi waislam wote wako kimya wakati maiti ya mwislam wenzao inaagwa ikiwa nusu uchi. Hiki kitendo kingefanywa na NATO au nchi nyingine kwa kuianika maiti ya mwislam buchani tena ikiwa nusu uchi,waislam wangepiga kelele sana. Leo wao na NATO ni chanda na pete, ila kesho wasije piga kelele kwamba ukristo unatawala dunia au usislam unadhalilishwa. wakati wameshaionyesha dunia kwamba ni sawa maiti ya mwislam kuagwa hata ikiwa nusu uchi sio vibaya, na hata ikikaa zaidi ya siku nne bila kuzikwa nako sio vibaya pia.

ha ha ha ha ha ha we unauDINI mbayaaa pale hawasabai,hawaagi bali wanashuhudia.Reference=maiti ya pharaoh bado ipo kule misri na watu huenda kushuhudia mpaka leo na ni agizo la mungu kwa udictator wa pharaoh.kwa kuwa mindset yako ni udini, hulka yako udini lazima utuulize waislam maswali ya udini ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Ndugu zanguni naomba niulize hii hali ya kuaga mati mmeanza lini
mwili wa mh kanali gadafi unatarajiwa kupewandugu zake leo usiku
baada ya kukaa kwenye bucha moja na watu kutoa heshima zao za mwisho
habari zaidi zinasema watu wamekuwa wakiminika kuaga mwili huo lakini
hali yake inaelekea kuwa mbaya nahivyo viongozi wa ntc wameona wawape ndugu zao
wakauzike ....
Kwa habari zaidi soma gazeti la nipashe

swali langu waliomuua gadafi ni waislamu ama wakristo.na je ntc inaongozwa na dini gani
je ni sahihi kumtia aibu bw yule kwa mabaya yottee aliotenda kwa kumweka kwenye bucha
loh kwelimalipo hapa hapa duniani.....

tatizo lako siku hizi unatumia masaburi kwenye post zako,kwanza ulichoandika umekielewa mwenyewe,sijui ulikuwa unataka kuuliza au kututaharifu nini sijui...!!basi andika kwa kilugha chenu basi ili uweze kueleweka.
 
tatizo lako siku hizi unatumia masaburi kwenye post zako,kwanza ulichoandika umekielewa mwenyewe,sijui ulikuwa unataka kuuliza au kututaharifu nini sijui...!!basi andika kwa kilugha chenu basi ili uweze kueleweka.

sema sijaelelwaq angalia mabwana zako hapo juu wanavyoendeelea kuchapa lapa
usiseme hatuna sema sina umesomea kiswahili wapi wewe
 
kwenye maandamano ya arusha kati ya walio kufa alikuwepo Ismail na siku ya kuwaombea maiti ililetwa kwenye viwanja vya nmc japo hakufunguliwa kama ilivyofanyika kwa mkristo lakini kitendo hicho waislam walikipinga kwa nguvu sasa leo gaddafi tusubiri bakwata watoe tamko la kulani kitendo hicho..

walitoa misikitini juzi ijumaaa!
 
Ndugu zanguni naomba niulize hii hali ya kuaga mati mmeanza lini
mwili wa mh kanali gadafi unatarajiwa kupewandugu zake leo usiku
baada ya kukaa kwenye bucha moja na watu kutoa heshima zao za mwisho
habari zaidi zinasema watu wamekuwa wakiminika kuaga mwili huo lakini
hali yake inaelekea kuwa mbaya nahivyo viongozi wa ntc wameona wawape ndugu zao
wakauzike ....
Kwa habari zaidi soma gazeti la nipashe

swali langu waliomuua gadafi ni waislamu ama wakristo.na je ntc inaongozwa na dini gani
je ni sahihi kumtia aibu bw yule kwa mabaya yottee aliotenda kwa kumweka kwenye bucha
loh kwelimalipo hapa hapa duniani.....


Isikuumize kichwa. Ameuwawa na Waarabu wenzake.
..Wapiganapo ndugu wawili, chukua jembe ukalime.
 
kwenye maandamano ya arusha kati ya walio kufa alikuwepo Ismail na siku ya kuwaombea maiti ililetwa kwenye viwanja vya nmc japo hakufunguliwa kama ilivyofanyika kwa mkristo lakini kitendo hicho waislam walikipinga kwa nguvu sasa leo gaddafi tusubiri bakwata watoe tamko la kulani kitendo hicho..

halafu bado aliyeteuliwa kuwakilisha upande wa waislam akatoa speach inayomlenga wa kwao tu. Hawakumzungumzia mwenzake mkristo. Hapa nndipo niliona uzuri wa shule na kutakaswa akili.
 
Back
Top Bottom