Waislamu kusherehekea Sikukuu ya Eid Kesho. Nawatakia Eid Mubarak Chadema wote

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,591
141,396
Eid Mubarak wana Chadema wote na wana Lumumba na wananchi wengine wote kwa ujumla.

Nawatakia sikukuu yenye furaha bila kusahau kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Siasa siyo Uadui
Maendeleo hayana vyama!

============

Assalama Alaikum

Ofisi ya Mufti wa Z'bar inatangaza rasmin kuwa leo Jumamosi MWEZI UMEANDAMA. Mwezi umeonekana LAMU Matondooni na Singida manyoni, hivyo basi insha'Allah kesho tunaamkia mwezi mosi Shawwal.

Ofisi unawashukuru wote walioshiriki ktk kuleta taarifa hizi.
(Nadir M. Mahfoudh)
(Mjumbe)
 
B
Eid Mubarak wana Chadema wote na wana Lumumba na wananchi wengine wote kwa ujumla.

Nawatakia sikukuu yenye furaha bila kusahau kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Siasa siyo Uadui
Maendeleo hayana vyama!

============

Assalama Alaikum

Ofisi ya Mufti wa Z'bar inatangaza rasmin kuwa leo Jumamosi MWEZI UMEANDAMA. Mwezi umeonekana LAMU Matondooni na Singida manyoni, hivyo basi insha'Allah kesho tunaamkia mwezi mosi Shawwal.
Ofisi unawashukuru wote walioshiriki ktk kuleta taarifa hizi.
(Nadir M. Mahfoudh)
(Mjumbe)
taqabalallahu minna wa minkum.

wengine tumesalia leo majumbani mwetu.

yote kwa yote sote tunahitaji rehma za Mola wetu.EID MUBARAK
 
Eid Mubarak wana Chadema wote na wana Lumumba na wananchi wengine wote kwa ujumla.

Nawatakia sikukuu yenye furaha bila kusahau kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Siasa siyo Uadui
Maendeleo hayana vyama!

============

Assalama Alaikum

Ofisi ya Mufti wa Z'bar inatangaza rasmin kuwa leo Jumamosi MWEZI UMEANDAMA. Mwezi umeonekana LAMU Matondooni na Singida manyoni, hivyo basi insha'Allah kesho tunaamkia mwezi mosi Shawwal.

Ofisi unawashukuru wote walioshiriki ktk kuleta taarifa hizi.
(Nadir M. Mahfoudh)
(Mjumbe)
Siitaki na wala sitaipokea salamu yako ya Eid , haramu haitoweza kuwa halali
 
Eid Mubarak wana Chadema wote na wana Lumumba na wananchi wengine wote kwa ujumla.

Nawatakia sikukuu yenye furaha bila kusahau kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Siasa siyo Uadui
Maendeleo hayana vyama!

============

Assalama Alaikum

Ofisi ya Mufti wa Z'bar inatangaza rasmin kuwa leo Jumamosi MWEZI UMEANDAMA. Mwezi umeonekana LAMU Matondooni na Singida manyoni, hivyo basi insha'Allah kesho tunaamkia mwezi mosi Shawwal.

Ofisi unawashukuru wote walioshiriki ktk kuleta taarifa hizi.
(Nadir M. Mahfoudh)
(Mjumbe)

Inabidi mwaka huu tusherehe Eid kama nilivyoeleza kwenye video hii:
 
Back
Top Bottom