Waislamu kuandamana nchi nzima kupinga speech ya mh Rais JK

Status
Not open for further replies.
Mnafiki ni wewe na wenzio humu JF walipouwawa ndugu zenu Arusha mlipiga kelele sana humu jamvini ila walipouwawa watanzania wenzetu kule Pemba, Unguja, Mwembechai hamkusema kitu. Tunawajua nyie ni wanafiki na JK kawaingiza kingi jana kwa hotuba yake nyote mmejaa na kujulikana rangi zenu kamili za udini wadini wakubwa!!!!!
nani aliyeingizwa mkenge? sio nyie mlioahidiwa mahakama ya kadhi na sasa tartiiiibu serikali ya ccm inajitoa, alichosema jk hakina tafsiri nyingine zaidi ya alichozungumza na ukumbuke rais hawezi kudanganya taifa kirahisi hivyo, we jiridhishe kwa porojo zako lakini ujue HABARI NDO HIYO! werra werrrraaaaa...
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Tunataka kadhi,
tunaonewa, nyie mna mou,
na sisi tunataka mou,
turudishiwe shule zetu,
ndiyo, hata yale majengo ya tanesco morogoro,
Ben alijipendekeza tu, hatuyataki, tunataka shule zetu na hispitali zetu tulizonyang'anywa na marehemu nyerere.
Tunataka kadhi ili uchumi wetu ukue, maisha yawe mazuri, bei za bidhaa zishuke, shilingi iimarike, tuwahukumu mafisadi, tunataka mahakama ya kadhi.

Hebu tutajie shule na hospitali za kiislamu then kataje za kanisa ambazo zilitaifishwa. Halafu, nitajie mahakama ya kikristo iliyo ndani ya katiba..!! Hebu tuwe waelewa kidogo. JK kaongea kuwa hata kama ikiwemo, isitumie kodi za wananchi wasio waislamu wala isiingie kwenye katiba period. Waislamu kwa kufuata uhuru wa kuabudu wawe na mustakabali wa mahakama yao itakayokuwa chini ya waislamu na kusimamia waislamu bila kuingilia uhuru wala mhimili wa mahakama. Sasa nyie mkianza "usisi" kwa kutaka mahakama zenu zichangamane na mhimili wa mahakama wa nchi; hapo kwa kweli mtakuwa hamuwatendei wakristo, wala wapagani wala wale wa dini zingine zisizo za kiislamu. Tuache udini na kisha tuconcentrate katika kujenga umoja wa kitaifa. Kila mtu awe na uhuru wa kuabudu ila asiim-disturb mwenzie...!!

Wakristo, waislamu, wapagani, budha, na wengineo, wawe na uhuru wao na wautumie ipasavyo bila kudisturb wengine wala kuingilia katiba na sheria za nchi. Kila dini ikitaka kupata favor fulani katika serikali, itafikia stage dini fulani zitaona zimebaguliwa au zimeonewa then hapo ndipo mifarakano au malalamiko au migongano ya kidini itakapoanza ambayo kwa ufupi ni mibaya kuliko hata hiyo mnayoiona duniani. Yaani hata ya kikabila haifikii ya kidini kwani hili ni swala la imani ya mtu. Na kwa kuhofia hilo ndio maana serikali ikaamua kusema kuwa haina dini na kuacha kila mtu aabudu Mungu wake; wewe ukitaka kuabudu jiwe sawa; ila ufuate sheria za nchi na usiingilie amani na utulivu wa mtanzania yeyote.

Mimi nawaomba ndugu zangu waislamu, haya maswala ya kidini yaendelee katika level za dini ya kila mmoja. Zisiingilie serikali na kuwaingiza viongozi wetu kwenye complications za kidini. Tukae na kuendelea kuiombea nchi yetu amani kama waumini wa dini mbali mbali; hilo ndilo kubwa ambalo Mwenyenzi Mungu anategemea toka kwetu. Kuisimamia amani na utulivu kwa upendo, mshikamano na amani ndio iwe nguzo yetu na kuyaombea mafanikio ya nchi hii huku tukijitahidi kuwa mfano wa kuigwa kwa hata hao mafisadi. Tukisimama katika nafasi zetu, kwa kufunga na kuomba huku tukionyesha njia kwa kufanya yaliyo mema na sio kupigana vijembe na kuleta migongano katika jamii, naamini Tanzania yetu itabadilika kimtazamo. Tusikae na kusema mbona nchi fulani imefanya vile; bali tukae na kuwa kioo cha nchi zingine kusema mbona Tanzania wameweza kukaa kwa amani, mshikamano, umoja na utulivu na wamefanikiwa. Tusi-copy, copy na kupaste kila kitu; vingine ni poison...!!!
 
Baada ya mh Rais wa Jamhuri ya Muungano kutoa speech kwenye baraza la Idd mjini dodoma kwenye msikiti wa Gaddaf. Waislam wametaharuki na kusema kamwe hawakuamini masikio yao kwa nyundo alizoshusha JK na sio kama walivyoahidiwa kwenye kampeni za CCM.

Tayari wameandika barua ya kumuomba kukutana na Rais ili kumshawishi arudie hotuba yake na kama yuko busy watamwandikia nyingine. Timu iliyochaguliwa kumwona Rais iliwasili ikulu leo saa 9 mchana na juhudi za kumpata mh Rais ziligonga mwamba.

Wanadai kama mh Dr. JK hata ridhia mapendekezo yao basi wataandamana nchi nzima kumpinga kwa kuwageuka.

Source. Nguli JF


Feb. 13: Egyptian army soldiers surround remaining protesters on Tahrir Square as the military tries to help people return to normal life in Cairo, Egypt.


Read more: Revolution In Egypt | FoxNews.com
 
Umezungumza point nzuri sana VOR za siku nyingi mkuu. Kuna watu wanapenda kutia fitina tu mie binafsi siungi mkono hichi kitu badala yake nimeridhika na statement ya rais kwani something is better than nothing at all. La muhimu mahakama ianzishwe kusaidia kuondoa backlog ya kesi za mirathi zilizoko katika mahakama zikikosa wa kuhukumu. Masuala mengine tutayazungumza mahakama kuu kunakojadiliwa katiba na kesi zinazogusa katiba. Sasa unapowajumuisha waislamu wote sijui inatokea wapi kwani sio wote wenye msimamo wa kuandamana but kila mtu na ufahamu wake.
<br />
<br />

Mdondoaji,

Maybe itakuwa bora kujaribu kuingiza sheria za mirathi kwenye mahakama za serikali sababu ziko very clear na zitatatua uonevu wa wajane. Hii ndio sheria moja naona inamanufaa kwa wote. Ila sijui inabidi iweje ili sheria za mirathi ziwe adopted na mahakama.

While on the subject, je, kwenye mahakama za kadhi, kuna sheria zinazolinda haki za wanawake? Let's say pale mume anapoowa mke mdogo na kumtekeleza mke mkubwa na watoto?
 
Nilichoona Sudan ni wakristu kujitenga na serikali dhalimu ya kiislamu, au wewe uliona nini?


Nani kakwambia South Sudan ni Wakristo waliojitenga na Waislamu? Wakristo South Sudan ni minority.


Religious beliefs in South Sudan tend to mostly include those adhering to traditional religions, although a Christian minority exists, according to the BBC.
Religions followed by the South Sudanese include traditional indigenous religions, Christianity and Islam.[SUP][1][/SUP] Scholarly[SUP][2][/SUP][SUP][3][/SUP][SUP][4][/SUP] and U.S. Department of State sources.[SUP]https://www.jamiiforums.com/#cite_note-4[/SUP]
 
Mapinduzi Yanakuja<br />
<br />
<img src="http://ts4.mm.bing.net/images/thumbnail.aspx?q=1177667644443&amp;id=0108ef93360c537954a6ad5ea953ccef&amp;url=http%3a%2f%2fwww.al-bab.com%2fimages%2ftunisia_blood.jpg" border="0" alt="" />
<br />
<br />
watu kama nyinyi(janjaweed)ndio mnaosababisha waislam tuonekane magaidi
 
Kwanza waislamu Tanzania wapo 35% ya population compare to christians who are just 30% na subiri sensa ya mwaka 2012 ndio utazimia kabisa. Pili uwaondoe au uwagawe mikoa waliyo waislamu wengi ndio inayochangia kwa kiwango kikubwa uchumi wa nchi hii hasa miaka 10 ya karibuni nayo ni Dar-es-Salaam, Mtwara, Lindi, Tanga, Morogoro, Kigoma, Tabora, Pwani, Zanzibar.

Mwisho kabisa hata kama wako milioni 5 waislamu wao ni watanzania halisi walioingia mkataba na serikali ya nchi hii kwa kutumia katiba namna ya vp wanataka watawaliwe hivyo sio wewe wala ndugu yako yeyote aliye na uwezo wa kuwafukuza labda uhame wewe na familia yako.
hapo kwenye bold naweza kukubaliana nawe...maana wenzetu mnazaliana kama mende...mtu fukara kabisa utakuta ana wake 3 mpaka 4....watoto 12 ...kila mtoto anakuja na riziki yake duniani....mwingine anakuwa anakwea minazi, mwingine anaishia kwenye ngoma ...mwingine mvuvi n.k haya bana mtafika tuuu!
 
<br />
<br />

Mdondoaji,

Maybe itakuwa bora kujaribu kuingiza sheria za mirathi kwenye mahakama za serikali sababu ziko very clear na zitatatua uonevu wa wajane. Hii ndio sheria moja naona inamanufaa kwa wote. Ila sijui inabidi iweje ili sheria za mirathi ziwe adopted na mahakama.

While on the subject, je, kwenye mahakama za kadhi, kuna sheria zinazolinda haki za wanawake? Let's say pale mume anapoowa mke mdogo na kumtekeleza mke mkubwa na watoto?

Hawa watu ninaona kama ni kikundi fulani kinataka kuitawala Tanzania, ninamarafiki zangu hata wao wanauliza mahakama ya nini wakati hakuna mtu anataka kuvunja sheria, na mimi nikajiuliza kwa hiyo hata waislamu wamegawanyika tena duh!!!!!!!! msalia mtume. Lakini ninashukuru Rais kwa kulitambua hilo.

Serikali nyingi duniani zimesha achana mambo ya dini wanafuata utawala wa haki bila ubaguzi wa dini jinsia au kumuonea mtu yeyote nk. Mambo ya dini yawe huru bila kuvunja sheria za nchi husika na mambo ya serikali yawe huru ili kuhudumia watu wake bila ubaguzi wowote.

Lakini hawa wajamaa wanataka mahakama ya kadhi wakati mahakama zimejaa tele hata wakitaka kwenda kulala huko serikali iwape ulinzi wa hali ya juu na asubuhi yake watakuwa hapo hapo mahakamani mpaka watakaporizika wenyewe.

Hiyo mahakama wanayoitaka watakwenda kuwafungulia huko nani madai yao au makosa? Hii mahakama haina kichwa wala miguu ni wanafiki tu wanapoteza muda ili siku zipite. Badala ya kupigania maendeleo wao wanatuletea mambo ya mahakama. Mfupa wanaotaka kuuleta hapa umewashinda wenyewe huko huko kama hawajui.

Hawa watu wanaotetea haya mambo wawewanasikiliza vyombo vya habari vya nchi mbali mbali watajua wenzao wanavyotaabika kwenye nchi za wenzao. Tunaomba serikali iwe makini isije kuingiza Tanzania kwenye mkumbo huo wa ajabu ajabu.
 
Dhambi ile ile ye ubaguzi, usaliti, unafiki, uongo na fitina inaendelea kumtesa JK na CCM yake. Sasa waislamu muda woooote mlikuwa hamjui? Mkuki kwa nguruwe, mtamu kwako?????? Ndo mnakurupuka? Kazi ni Kwenu!!!!!!!
 
Waislamu wanafiki!!!! Wamejinafikisha kwa serikali ya CCM ili wabwebwe, sasa wamekuwa waziiiito. Wamewekwa chini hawabwebwi tena, waende kwa miguu yao wenyewe. Wameambiwa wazi na Rais wa JMT. Wasilete ufyoko
 
JK ameshaona he has nothing to loose, huenda anajisemea kimoyo moyo tu kuwa angalau nikifikisha tuu 2015 niondoke zangu. Ametimiza ahadi au hajatimiza mtajiju. Kwani mtamfanyaje? Poleni waislamu, kumbe bado mnajifariji. Haya yangu macho tuu
 
Walipopigwa chadema kule Arusha wewe ulikuwa ukilalama hapa demokrasia imevunjwa na JK mdini ona sasa unavyojionyesha jinsi gani ulivyo mbaguzi na mdini mkubwa!!!!! Yaani unafurahia watanzania wenzio wapigwe kisa ni waislamu pambafu kabisa.
<br />
<br />
baadhi ya maneno ndani ya hotuba ni mkifanya vurugu, tutawaletea FFU. je maandamano ni vurugu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom