Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,121
Habari!
Ninaandika hapa si kwa lengo la kuichafua dini (njia) yangu ya Kikristo bali kuwapa changamoto kidogo wakristo wenzangu.
Yesu alisema hazina zetu zilipo ndipo roho zetu zitakapokuwepo. Hapa alimaanisha sadaka tuitoayo ina nafasi huko mbele. Kwa maana nyingine ni kwamba tusipende kuvuna haraka hapahapa duniani. There is something ahead.
Cha ajabu sasa wakristo tunatoa sadaka tukitarajia mibaraka. Na kwa akili hizi basi na wahuni wameingia kundini kutafuna pesa za Waumini makanisani.
Yaani ibada haiwezi kuisha bila kupigiana kelele juu ya sadaka.
Ninaandika hapa si kwa lengo la kuichafua dini (njia) yangu ya Kikristo bali kuwapa changamoto kidogo wakristo wenzangu.
Yesu alisema hazina zetu zilipo ndipo roho zetu zitakapokuwepo. Hapa alimaanisha sadaka tuitoayo ina nafasi huko mbele. Kwa maana nyingine ni kwamba tusipende kuvuna haraka hapahapa duniani. There is something ahead.
Cha ajabu sasa wakristo tunatoa sadaka tukitarajia mibaraka. Na kwa akili hizi basi na wahuni wameingia kundini kutafuna pesa za Waumini makanisani.
Yaani ibada haiwezi kuisha bila kupigiana kelele juu ya sadaka.