Bahati Risiki
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 530
- 93
Wanajeshi wanawasubiri hapo highway watakiona cha moto!
Naibu mwenyekiti wa jumuiya ya waislam anafanya maandalizi ya maandamano ya waislam Tanzania nzima siku ya ijumaa. Lengo la maandamano ni pamoja na kushinikiza viongozi wa BAKWATA itoke madarakani. Mwenyekiti huyo kasema kuna sababu zingine ambazo hakuzisema katika redio ya BBC leo. Hii ni changamoto kwa serikali ya TZ