Waislam Tunadhulumiwa na BAKWATA, Sasa Twasema Basi

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,059
4,055
Bakwata ni chombo halali cha CCM na wala si cha waislam. Balukta yetu tumedhulumiwa na CCM na Bakwata.
CCM imetunyima haki yetu ya kuwa na Kadhi. Bakwata haitutetei, badala yake inafurahia kuona tukinyanyaswa.
Sasa CCM na Bakwata wamefika mbali, wameanza kupandikiza chki kati ya waislam na wakristo huko lgunga.
Waislam tuinuke tuunde chombo kingine cha kututetea maana Bakwata wameshindwa kazi.
 
Ni uamuzi wenu tu na nawashauri msichelewe kufanya maamuzi manake chuki ndo hizo zimepandwa, gharama ya kuzitoa ni kubwa!
 
Bakwata ni chombo halali cha CCM na wala si cha waislam. Balukta yetu tumedhulumiwa na CCM na Bakwata.
CCM imetunyima haki yetu ya kuwa na Kadhi. Bakwata haitutetei, badala yake inafurahia kuona tukinyanyaswa.
Sasa CCM na Bakwata wamefika mbali, wameanza kupandikiza chki kati ya waislam na wakristo huko lgunga.
Waislam tuinuke tuunde chombo kingine cha kututetea maana Bakwata wameshindwa kazi.
Kweli MS umenena. BAKWATA wanamoderate waislam vyovyote wanavyotaka na wanawapeleka pabaya. Fanyeni maamuzi makini na magumu.
 
Kiranja Mkuu, unawasemea waislamu gani? Kwanza wewe ni Murtad, huna haki ya kuishi saa hizi ulipaswa kuwa umekatwa kichwa chako kabisa kikatenganishwa na kiwiliwili.
 
Kiranja Mkuu, unawasemea waislamu gani? Kwanza wewe ni Murtad, huna haki ya kuishi saa hizi ulipaswa kuwa umekatwa kichwa chako kabisa kikatenganishwa na kiwiliwili.

Murtad unajua maana yake weye?? Au waandika tu ilmradi iwe?
 
Kiranja Mkuu, unawasemea waislamu gani? Kwanza wewe ni Murtad, huna haki ya kuishi saa hizi ulipaswa kuwa umekatwa kichwa chako kabisa kikatenganishwa na kiwiliwili.

weye ni kibaraka wa CCM na unafurahia jinsi bakwata inavyouza wakfu zetu kwa makafir. Ulaaniwe milele
 
Uislam Tanzania umetekwa nyara na CCM kupitia mgongo wa Bakwata ni jukumu la Waislam kuurudisha katika misingi sahihi uislam kama ulivyokuwa kabla ya uhuru wa Tanganyika
 
Muhammadans, kwanini msianzishe chama au umoja au cult yenu ambayo mnaiamini na kuachana na kulalamika kama vile mnashikiwa bakora kufuata Bakwata? Acheni maskh'hara
 
Muhammadans, kwanini msianzishe chama au umoja au cult yenu ambayo mnaiamini na kuachana na kulalamika kama vile mnashikiwa bakora kufuata Bakwata? Acheni maskh'hara

Bahati mbaya sikufahamu ningejua uliko...ungenitambua
 
bakwata ni chombo halali cha ccm na wala si cha waislam. Balukta yetu tumedhulumiwa na ccm na bakwata.
Ccm imetunyima haki yetu ya kuwa na kadhi. Bakwata haitutetei, badala yake inafurahia kuona tukinyanyaswa.
Sasa ccm na bakwata wamefika mbali, wameanza kupandikiza chki kati ya waislam na wakristo huko lgunga.
Waislam tuinuke tuunde chombo kingine cha kututetea maana bakwata wameshindwa kazi.

bakwata iliundwa na mkristo nyerere ... Automatically sio chombo cha waislam serikali inatulazimisha tu... Bakwata hawa wanaonekata siku za mwandamo wa mwezi alafu wanapotea.....

Waislam tulio wengi hatuwakubali bakwata...
 
bakwata ni chombo halali cha ccm na wala si cha waislam. Balukta yetu tumedhulumiwa na ccm na bakwata.<br>
ccm imetunyima haki yetu ya kuwa na kadhi. Bakwata haitutetei, badala yake inafurahia kuona tukinyanyaswa.<br>
sasa ccm na bakwata wamefika mbali, wameanza kupandikiza chki kati ya waislam na wakristo huko lgunga.<br>
waislam tuinuke tuunde chombo kingine cha kututetea maana bakwata wameshindwa kazi.
bakwata iliundwa na mkristo nyerere bakwata hawa wanaonekana siku za mwandamo wa mwezi alafu wanapotea..... Hawa jamaa ni wanafiki sana badala ya kuwa chombo cha waislam... Nyerere alikitengeneza kuwa chombo cha serikali kuwadhibiti waislam! P&*^vu
 
BAKWATA wanakurupuka kulaani DC kuvuliwa mtandio wakidhani hijabu. This is shameful.
 
bakwata iliundwa na mkristo nyerere ... Automatically sio chombo cha waislam serikali inatulazimisha tu... Bakwata hawa wanaonekata siku za mwandamo wa mwezi alafu wanapotea.....

Waislam tulio wengi hatuwakubali bakwata...

Mbona muislam alhaj Ally Hassan Mwinyi ndiye aliyevunja Balukta? Waislam hivi mpewe nini ndio mrdhike?
 
Back
Top Bottom