Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Bakwata ni chombo halali cha CCM na wala si cha waislam. Balukta yetu tumedhulumiwa na CCM na Bakwata.
CCM imetunyima haki yetu ya kuwa na Kadhi. Bakwata haitutetei, badala yake inafurahia kuona tukinyanyaswa.
Sasa CCM na Bakwata wamefika mbali, wameanza kupandikiza chki kati ya waislam na wakristo huko lgunga.
Waislam tuinuke tuunde chombo kingine cha kututetea maana Bakwata wameshindwa kazi.
CCM imetunyima haki yetu ya kuwa na Kadhi. Bakwata haitutetei, badala yake inafurahia kuona tukinyanyaswa.
Sasa CCM na Bakwata wamefika mbali, wameanza kupandikiza chki kati ya waislam na wakristo huko lgunga.
Waislam tuinuke tuunde chombo kingine cha kututetea maana Bakwata wameshindwa kazi.