so law
Senior Member
- Dec 24, 2018
- 101
- 269
Kama heading inavosema..
Yaani hakuna watu wanyenyekevu kama waislamu, naangalia jinsi mwezi wao unavoingiliwa na wakristu mpka najisemea moyoni Mbona sisi wakati wa kwaresma Waislam huwa wanakaa mbali sana na imani yetu na kuacha kujipendekeza... na Kama ilivo Ada wakristu mkifunga jioni mnakula nyie na familia zenu ndani mkiwa mmejifungia
Nashangaa mwezi mtukufu kina makonda wanafuturisha ,tena idadi ya wahudhuriaji Sio Waislam, like what's the point??
Binafsi naona ni ushamba na kuingilia imani za watu kuharibu mipangilio.
Yaani hakuna watu wanyenyekevu kama waislamu, naangalia jinsi mwezi wao unavoingiliwa na wakristu mpka najisemea moyoni Mbona sisi wakati wa kwaresma Waislam huwa wanakaa mbali sana na imani yetu na kuacha kujipendekeza... na Kama ilivo Ada wakristu mkifunga jioni mnakula nyie na familia zenu ndani mkiwa mmejifungia
Nashangaa mwezi mtukufu kina makonda wanafuturisha ,tena idadi ya wahudhuriaji Sio Waislam, like what's the point??
Binafsi naona ni ushamba na kuingilia imani za watu kuharibu mipangilio.