janja pwani
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 104
- 9
waislamu tofauti nchini wanaendelea kulaani kitendo cha wabunge na wanachama wa chadema kumvua hijabu DC bi Fatuma kimario, wakiongea leo baada ya swala ya Adhuhuri katika msikiti wa Idrissa wamesema kama wao walimtuhumu kuwa alikuwa amevunja sheria kwa kufanya kikao wangemkamata si kumvua hijabu kwani kufanya hivyo ni dharau na udhalilishaji wa dini yake na waislam wote Duniani, hivi kama angekuwa sister wangemvua kitambaa chake kichwani?, au mkristo aliyevaa rosary yake wangeikata? walihoji waumini hao kwa hoja.