Waislam hawana Imani na Baraza la Mitihani...

Waislam weng wamezoea kulalamika kwamba wanaonewa. Hiv vyombo vya dola hamna? C waende wakakate rufaa? Wanaosahisha mitihan wote ni wakristo? Malalamiko yao hayana mantiki kuna mada 1 niliikuta hum jf et 'chuo kimoja cha kiislam vyuo kibao vya kikristo' mlitaka wakristo wawajengee vyuo? Au mlishawah kuanzisha chuo tcu wakawakatalia? Nonsens!!
 
kwani waalimu ambao huenda kusahihisha mitihani ni wakristo watupu?au baadhi yao hawatoki zanzibar?kwanini wasiwaambie ukweli kuhusu madudu yanayofanywa na vijana bila kuzingatia dini?nadhani wanasahihisha jinsi mtu anavyojibu na sio majina.wazazi waaandae vyema watoto wao na wawapeleke kwenye shule bora na wenye shule wajaribu kujifunza kwa wenzao.wawatafute waalimu bora,wawalipe vizuri,shule ziwe na miundobinu bora ya kusomea,vifaa elimu vikiwa na vitabu,madawati,maabara na library.uongozi bora ulio na maono ya kitaaluma na sio wa kidini ikiwa ni pamoja na kufuatilia kwa ukaribu mwenedo wa wanafuzi kitabia na kitaaluma hakika watafaulu.mbona zipo shule za kiislamu zinafanya vizuri sana mfano taqwa na taqyafa za Mwanza.
 
Mi nadhani tungepewa fursa sisi waislamu ni nini tunataka kifanyike Baraza la mitihani badala ya kubaki na kusema tunaonewa, Hata kama top 10 ya management ya baraza la mitihani wangekuwa waislamu bado mambo yatakuwa yaleyale kama wanafunzi wa kiislamu hawajitumi kusoma, kwani management haiwezi kubadili matokeo ya mtu kwa style yeyote. Basi tutoe proposal ya kuwa na external supervisors kutoka nje ya nchi kama wanavyofanya UDSM ili akague usahihishaji wa mitihani hiyo.
 
Wanacholalamikia ni hiki kifuatacho:-

1. Baraza linafelisha makusudi Waislam na shule zao.
2. Vitengo muhimu wapo Wakristo wakereketwa.
3. Wakuu wa shule Waislam wapinga matokeo.
4. Wataka iundwe tume kuchunguza matokeo 2012.

Kwa maelezo hayo hapo juu hivi tunajenga au tunabomoa?

Sidhani kama hawa Waislam wana malalamiko ya msingi kwenye hili. Waelewe adui wa Waislam ni wenyewe waislam.
Habari za kupikwa kama hizi hazileti tija kwenye Taifa la Tanzania hata siku moja. Habari haina facts hata kidogo.

What I think….There is………. Anyway…..”Inferiority complex”. Mhariri na Mwandishi wa habari hii wana tatizo kubwa, sasa sijui kama wanaweza kutupatia ushahidi. Je, serikali iko wapi kwenye hili au inataka mpaka maafa yatokee.

Hili gazeti la AN-NUUR hata siku moja haliwezi kuandika maendeleo ya Waislam kwa faida ya wailsam wao kila siku kuandika habari za Wafuasi wa Mtume kuonewa sasa sijui wanaupeleka wapi Uislam.

Ingekuwa vema tungeacha kushabikia ujinga maana hata ukimpatia mtoto asiyejua kusoma na kuandika Division One kwa ajili ya kuwafurahisha akina Masheikh uchwara ambao wao kila siku kazi yao kulalamika tu pasipo na msingi. Je, tunakuwa tunatengeneza nini kama si bomu.

Waislam liangalieni hilo gazeti la An Nuur litakuja kuwagombanisha Waislam na watu wa Dini nyingine.

Yangu ni hayo tu.

hoja zao zte zna PROOF,ZINAELEWEKA NA KUAMINIKA na wa2 weny akili timamu na sio wny interest zao bnafc.ww Mzee wa njaa nna hofu kua umehongwa utoe mada hi ili upunguze njaa yko.
POLE SANA BRO...
 
Tatizo ni mfumo wa kiislamu na mtazamo wao kuhusu elimu.Mafundisho ya madrasa yanasisitiza zaidi elimu ya kiislam kuliko elimu ya kawaida na hivyo akili za waislamu kujengeka hivyo tangu utotoni. Waislamu wengi walioingia madrasa wakiwa wadogo wana kuwaga confused wanapoanza shule za msingi kwani wanshibdwa kujua wazingatie la mwalimu wa madrasa au la mwalimu wa shule ya msingi ambaye ni mkristo. Cha muhimu wasikimbilie ku-conclude kuwa wanafelishwa bali wachukue maprofesa wa kiislamu wakafanye utafiti wa kina wawape masheikh taarifa. Tatizo la kutoweza kutofautisha madrasa na elimu dunia ndo kinachowa felisha na wala si kuonewa.
 
Sina uhakika kama waislamu wote wana mawazo duni kama hayo yalioandikwa katika hilo gazeti la udaku ambalo limevaa mwamvuli wa mtetezi wa uislamu. Haya yalioandikwa humo ni mawazo ya wapuuzi wachache na kama ndio msimamo wa waislamu wengi basi kazi ipo!!

kazi ipo kweli ndo mana wakalalamika ili njia mbdala zifuatwe.NA ZITAFUATWA.
 
kagazeti kenyewe kanaandikwa kienyeji sijui hata kama kina mhariri na waandishi wake kama wamesoma sana wameishia darasa la nne.hakina mpangilio wa uandishi ni malalamiko yasiona msingi kimejaa

lete proof.
 
kagazeti kenyewe kanaandikwa kienyeji sijui hata kama kina mhariri na waandishi wake kama wamesoma sana wameishia darasa la nne.Hakina mpangilio wa uandishi ni malalamiko yasiona msingi kimejaa

LETE PROOF.ucseme kila unalolickia sema kila unaloshuhudia..
 
Haya ni mambo ya kitoto. Tangu juzi nimewaambia Pro-Manung'uniko sheria ipo wazi kwa mtu asiyeridhika na matokeo. Kama mtu anaona mtihani wake haukusahihishwa vyema ana haki ya kukata rufaa urudiwe kusahihishwa mbele ya mashahidi.

Vibabu vinavyocheza bao msikitini baada ya ibada vina muda kweli wa kuchungulia madaftari ya watoto wao au ni ujinga tu wa kuja kulalalama baada ya watoto kutaga?

Kama kweli mna hoja twendeni baraza tukasahihishe upya mitihani yenu, tuanze na wa Mwanaasha kudadadeki zenu kama hamkuumbuka.

2taanza na wa Mwana mtoka kudadadki zako.
 
Back
Top Bottom