Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
Waislam weng wamezoea kulalamika kwamba wanaonewa. Hiv vyombo vya dola hamna? C waende wakakate rufaa? Wanaosahisha mitihan wote ni wakristo? Malalamiko yao hayana mantiki kuna mada 1 niliikuta hum jf et 'chuo kimoja cha kiislam vyuo kibao vya kikristo' mlitaka wakristo wawajengee vyuo? Au mlishawah kuanzisha chuo tcu wakawakatalia? Nonsens!!