WAUMINI wa dini ya Kiislamu mkoani Dodoma, wamewataka Watanzania kupuuza uvumi kuhusu mgogoro wa Libya, badala yake, wametaka kuungana na kumuombea kiongozi huyo adumu madarakani.
Wito huo ulitolewa juzi na Sheikh wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabaan, ambaye alisema hakuna machafuko nchini Libya bali kinachotokea ni kikundi kidogo alichokiita cha kihuni kinachopanga kumuondoa, Kanali Muammar Gaddafi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake juzi, Sheikh Shaaban alisema tamko la Waislam wa Mkoa wa Dodoma ni kuwataka wenzao nchini na duniani, kuhakikisha hawaungi mkono kikundi hicho cha kihuni.
Sheikh Shaaban alisema kinachofanyika ni baadhi ya watu ambao wanapenda kunywa pombe na kutumia dawa za kulevya, walioko mpakani mwa nchi hiyo na Misri ndio walioanzisha fukuto hilo.
"Mimi ni nina shahada ya sheria ambayo niliipata Libya, nina ufahamu mzuri wa uongozi wa Gadaffi, ni mtu wa upendo kwa watu wake na nimekuwa nawasiliana na wenzangu huko wanasema machafuko ni ya mji mmoja tu, sio nchi nzima," alisema Sheikh Shaaban.
Kiongozi huyo alisema licha ya kuongoza nchi yake vizuri kwa kwa muda mrefu, Kanali Gaddafi amekuwa na mchango mkubwa kwa mataifa mbalimbali.
Kanali Gaddafi amejenga msikiti mkubwa mjini Dodoma na nchini Uganda. Pia, alifadhili ujenzi wa msikiti wa Butiama, baada ya Baba wa Taifa, marehemu Mwalimu Julius Nyerere kumuomba.
Source: Mwananchi
<br />Nyerere akiwa na MNF(Mwalimu nyerere foundation) alimwomba gaddafi achangie ujenzi wa chuo kitarajiwa butiama, gaddafi alikubali kutoa hela, lakini akatoa sharti zitumike kujenga msikiti! Kuhusiana na vita vya kagera, hayo yalishapita, maana gaddafi alitaka kutoa hela ili arudishiwe askari wake waliotekwa na JWTZ, nyerere akakataa hela, akawaachia bure wale wafungwa. Hapa linaonekana pia tatizo la misaada ya gaddafi-anapenda sana kusaidia miundombinu ya elimu ya kiroho tu na si elimu dunia, ambayo nayo ni muhimu sana.
<br />Baba, kafir ni mpingaji. Hilo neno lilitumika pia kwenye injili likiwaamaanisha watu wanaompinga Yesu kuwa makafir!.....chunguza vizuri huo ndiyo msingi wa maana ya neno hilo....Yaani mfano, mtu akisema yesu ni mwana wa mungu wewe ukakataa, wewe ni kafir!!
<br />Tumsubiri Allah tuone kama ana nguvu kama anavyo dai. Ha ha ha ha ha ha ha ha ha, allah v. rebels nani zaidi?
<br /><br /><br />
<br /><br />
fikra zako zinatoka kwenye masaburi yako ALLAH si wakutaniwa kamtanie yule mungu wenu anaezaa
<br />
<br />
fikra zako zinatoka kwenye masaburi yako ALLAH si wakutaniwa kamtanie yule mungu wenu anaezaa
Tumsubiri Allah tuone kama ana nguvu kama anavyo dai. Ha ha ha ha ha ha ha ha ha, allah v. rebels nani zaidi?
<br />Astakafulah, weeye wafuata ALLAH!!! Haya tuone huyo allah wako kama atamkomboa Khaaadafuh. Nyie pigeni moyowe na makelele, allah wako kamwe hoto weza kumsaidia huyo khaaadafuh. Ushauri wa bure, soma kolani yako na uone jinsi allah wako alivyo shindwa mponya marehemu mwamedi mutume wake.
<br />na maaskofu wengi ni walawiti
<br />na maaskofu wengi ni walawiti
WAUMINI wa dini ya Kiislamu mkoani Dodoma, wamewataka Watanzania kupuuza uvumi kuhusu mgogoro wa Libya, badala yake, wametaka kuungana na kumuombea kiongozi huyo adumu madarakani.
Wito huo ulitolewa juzi na Sheikh wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabaan, ambaye alisema hakuna machafuko nchini Libya bali kinachotokea ni kikundi kidogo alichokiita cha kihuni kinachopanga kumuondoa, Kanali Muammar Gaddafi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake juzi, Sheikh Shaaban alisema tamko la Waislam wa Mkoa wa Dodoma ni kuwataka wenzao nchini na duniani, kuhakikisha hawaungi mkono kikundi hicho cha kihuni.
Sheikh Shaaban alisema kinachofanyika ni baadhi ya watu ambao wanapenda kunywa pombe na kutumia dawa za kulevya, walioko mpakani mwa nchi hiyo na Misri ndio walioanzisha fukuto hilo.
Mimi ni nina shahada ya sheria ambayo niliipata Libya, nina ufahamu mzuri wa uongozi wa Gadaffi, ni mtu wa upendo kwa watu wake na nimekuwa nawasiliana na wenzangu huko wanasema machafuko ni ya mji mmoja tu, sio nchi nzima, alisema Sheikh Shaaban.
Kiongozi huyo alisema licha ya kuongoza nchi yake vizuri kwa kwa muda mrefu, Kanali Gaddafi amekuwa na mchango mkubwa kwa mataifa mbalimbali.
Kanali Gaddafi amejenga msikiti mkubwa mjini Dodoma na nchini Uganda. Pia, alifadhili ujenzi wa msikiti wa Butiama, baada ya Baba wa Taifa, marehemu Mwalimu Julius Nyerere kumuomba.
Source: Mwananchi
Nakuunga Mkono na waeleze wagumu wa kubadilika, Mbona kwa mitume wengine walikubali mabadiliko? iweje kwa Muhamad(S.A.W) wawe na vichwa maji? Hakika Ilsam ndo din ya haki na Ulinmwengu mzima, Allahu Akbar!!<br />
<br />
im proud being a muslim and ALLAH (s.w) is great and islamic umma is definately the best cjui wewe kama ni proud na dini yako ambayo mtu anachukua kipande cha mti anakichonga anakipiga msasa anakipaka vanish halafu ww unakipigia magoti and u ask for your daily bread
Ewe Kiumbe uliyeumbwa Kutokana na Majimaji yatokayo kwa mwanume kisha yakaa ndani ya mwanamke miezi kadhaa, na bado usishangae hayo yawezeshwa na nani? Hakika uko ktk hasara kubwa... Wa Kumponda Allah uwe weye? Hujui usemalo nakuombea Allah Akuondolee utando km siku ile ulipozaliwa..... ALLAHU AKBAR!!Tumsubiri Allah tuone kama ana nguvu kama anavyo dai. Ha ha ha ha ha ha ha ha ha, allah v. rebels nani zaidi?