Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Waislam tumezidi, tunapenda maandamano kuliko kutafuta pesa. Huu ni muda wa kazi, watu wako bize na kutafuta maisha, siye twahasishana eti tukalaani sinema vidongo vyekundu? Ndo maana hatuendelei kwa uvivu wetu wa kutafakuri