Baraghash
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 2,713
- 1,786
Na yale ya kukatiana migomba,mibuni na kuchomeana nyumba kule Kagera , kukatana mapanga kule Tanga na Mwanza tena kwenye nyumba ya ibada, hilo nalo tuliiteje?Usiwe mvivu wa kutafakariOna sasa hivi kwa kutofautiana tu kisiasa wanakatiana mikarafuu huko Pemba!