aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,627
- 3,570
Nauliza tu? Kwa maana wao ndio wametawala mda mrefu nchi hii ilikuwaje wakashindwa kueneza kanisa lao Tanzania nzima?
Maana ukitazama wa italy hawakutawala Tanzania lakini ndio dini yao ilienea sana
Tofauti na waingereza ambao imeenea sana Tanga,Dodoma,masasi na huko Nyasa
Maana ukitazama wa italy hawakutawala Tanzania lakini ndio dini yao ilienea sana
Tofauti na waingereza ambao imeenea sana Tanga,Dodoma,masasi na huko Nyasa