englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
Mkisha lishwa ubwabwa ndio mnawapigia kura viongozi wenu wazidi kuwatala na nyinyi muzii kuwa masikini, Kasheshe kweli Wa-Danganyika.@Baba Vccm nambari wani, chama gani kina pesa ya kuwalisha wananchi wake msosi havi namna hiyo.. "naipenda" bure ccm....
Mkisha lishwa ubwabwa ndio mnawapigia kura viongozi wenu wazidi kuwatala na nyinyi muzii kuwa masikini, Kasheshe kweli Wa-Danganyika.@Baba V
Hata kama hakina thamani ya miaka 5 ndio kampeni za viongozi wenu kupata uongozi lazima mupewe vijisenti kidogo na Ubwabawa ukitaka kuwatawala watu uwafanye wawe wajinga kwa kuwapa vijizawadi uchwara basi utawatala maisha philip dominickhko cha kula cdhan kama kina thamani ya miaka mi5
Wapendwa, Hakuna arudishae mkono wa Karimu ila laimu !! hii ni rizik haijalishi nani kaandalia. "at the end italiwa"