Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,541
wadau,mi waifu wangu sio mtu wa mitandao kabisa japokuwa ni graduate na ana kazi yake.hata acc fb hana,anapenda vitu simpo simpo sana kasoro kuvaa ndo anapenda avae vizuri.amekuwa akiniona mi nashinda na laptop muda wote nachat napost etc etc.ana access na acc yangu ya fb so huwa anaingia kushangaa shangaa.jana jioni kanishangaza sana,amekurupuka tu anaanza kuniambia anataka username yangu na password nayotumia jamii forums.sasa nashangaa waifu kawaje au nani kamjanjatusha hadi akurupuke tu eti anataka acc yangu ya jf