Waifu kajanjaruka!!!

Kozo Okamoto

JF-Expert Member
Oct 14, 2013
3,391
1,541
wadau,mi waifu wangu sio mtu wa mitandao kabisa japokuwa ni graduate na ana kazi yake.hata acc fb hana,anapenda vitu simpo simpo sana kasoro kuvaa ndo anapenda avae vizuri.amekuwa akiniona mi nashinda na laptop muda wote nachat napost etc etc.ana access na acc yangu ya fb so huwa anaingia kushangaa shangaa.jana jioni kanishangaza sana,amekurupuka tu anaanza kuniambia anataka username yangu na password nayotumia jamii forums.sasa nashangaa waifu kawaje au nani kamjanjatusha hadi akurupuke tu eti anataka acc yangu ya jf
 
wadau,mi waifu wangu sio mtu wa mitandao kabisa japokuwa ni graduate na ana kazi yake.hata acc fb hana,anapenda vitu simpo simpo sana kasoro kuvaa ndo anapenda avae vizuri.amekuwa akiniona mi nashinda na laptop muda wote nachat napost etc etc.ana access na acc yangu ya fb so huwa anaingia kushangaa shangaa.jana jioni kanishangaza sana,amekurupuka tu anaanza kuniambia anataka username yangu na password nayotumia jamii forums.sasa nashangaa waifu kawaje au nani kamjanjatusha hadi akurupuke tu eti anataka acc yangu ya jf

Haujatuambia alivokwambia umpe ulimjibu nini?!! Unaweza kumpa tu, kwani kuna lolote la ajabu jf? yeye anaingiaga? JF kwani kuna kutongozana jamani, kama kashajiridhisha na fb kuwa hauna tatizo basi huku jf mbona anakuja kujiridhisha tu pia! Lakini usisahau na wewe kumwomba username yake ya JF, akisema hana muulize ye jf kaijuaje?!! Skutii presha, lakini inawezekana ana mshkaji mwingine pembeni amabaye anamfunza yote haya... HUENDA UNAIBIWA MPWA!
 
Sumpe tu atumie ili na yeye ajue kinachoendelea huku atoke kwenye ujima kwani ukimpa utapungukiwa nini sumfungulie mpya halafu mkabidhi tu
wadau,mi waifu wangu sio mtu wa mitandao kabisa japokuwa ni graduate na ana kazi yake.hata acc fb hana,anapenda vitu simpo simpo sana kasoro kuvaa ndo anapenda avae vizuri.amekuwa akiniona mi nashinda na laptop muda wote nachat napost etc etc.ana access na acc yangu ya fb so huwa anaingia kushangaa shangaa.jana jioni kanishangaza sana,amekurupuka tu anaanza kuniambia anataka username yangu na password nayotumia jamii forums.sasa nashangaa waifu kawaje au nani kamjanjatusha hadi akurupuke tu eti anataka acc yangu ya jf
 
Haujatuambia alivokwambia umpe ulimjibu nini?!! Unaweza kumpa tu, kwani kuna lolote la ajabu jf? yeye anaingiaga? JF kwani kuna kutongozana jamani, kama kashajiridhisha na fb kuwa hauna tatizo basi huku jf mbona anakuja kujiridhisha tu pia! Lakini usisahau na wewe kumwomba username yake ya JF, akisema hana muulize ye jf kaijuaje?!! Skutii presha, lakini inawezekana ana mshkaji mwingine pembeni amabaye anamfunza yote haya... HUENDA UNAIBIWA MPWA!

nachohofia ni yeye kuona post zangu ambazo zingine hapaswi kuziona
 
Back
Top Bottom