RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,771
Hivi kuna watu wanakagua hili daraja au wamekaa ofisini na kwenye vile vibanda kukusanya hela? Wiki mbili zilizopita nilipita hapo darajani nikaona nguzo imegongwa na hii kingo ya flyover. Ile nguzo sasa hivi imeondolewa, ila hili tofali bado lipo pale pale na limekaa vibaya sana kuegamia chini ambako kuna magari yanapita.
Inahitaji nini kuliondoa na kulirudisha hapo lilipochomoka? Au mnasubiri liangukie gari au mtu mwingine agonge hapo ashuke nalo chini?!!
Inahitaji nini kuliondoa na kulirudisha hapo lilipochomoka? Au mnasubiri liangukie gari au mtu mwingine agonge hapo ashuke nalo chini?!!