Wahujumu Uchumi, Wachochezi kushinda kesi, nini maana yake?

Mahweso

JF-Expert Member
Jan 10, 2014
1,098
1,501
Tuanadanganywa, Tunapumbazwa, ama Wanasheria au mawakili wa Serikali hawajui Sheria.

Sina mengi napenda kujua hilo tu maana sielewi ni kitu gani kiko ndani yake,
 
Mkuu, kesi za jinai ni ngumu sana. Upande wa Mashtaka unapaswa kuthibitisha pasipo kuacha shaka yoyote. Hilo si jambo dogoMkuu. Hata rangi ya nguo tu yaweza kumweka mtu huru. Hatahivyo, wapo washtakiwa ambao kila iitwayo leo hukutwa na hatia na kuhukumiwa. Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka inafanya kazi kubwa na ngumu.
 
Mkuu, kesi za jinai ni ngumu sana. Upande wa Mashtaka unapaswa kuthibitisha pasipo kuacha shaka yoyote. Hilo si jambo dogoMkuu. Hata rangi ya nguo tu yaweza kumweka mtu huru. Hatahivyo, wapo washtakiwa ambao kila iitwayo leo hukutwa na hatia na kuhukumiwa. Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka inafanya kazi kubwa na ngumu.
Mkuu na je gharama za usumbufu Mahakama huwa inamlimpa aliyesumbuliwa??
 
kama una DPP ambaye he is not applying his mind careful,unwise decision tumwiteje idoit or its too harsh?mie namwita unwise man;ni lazima aelewe kuwa ana majukumu makubwa impartial its a key here,hasa hizi kesi zinazo attract watu na press maana matokeo yake yana uzito mkubwa kwa ofisi yake,na sasa hii ofisi inageuka kuwa ni kichekesho kesi zote zinazokuwa in public anashindwa,shame on him
 
Pia, mawakili wa serikali wazembe. Chukulia kesi ya samaki, ilipaswa kuwa ya uhujumu uchumi kweli?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom