Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Tatizo mnawala wale wahusika… na jinsi walivyo na exposure ndogo, wanajiona wameshakua wake zenu

inaharibu sana aisee
 
wewe si mteja tu pale, sio mmiliki, unahangaika nini na wahudumu wasio kujali? nenda kaungishe wengine, kwani biashara yako ile?
Tena jf inavosoma na wengi humu shishi atapoteza wateja, mswahili akifanya biashara hudhani wateja yeye huwapa hela bure. Jifunzeni kwa wachagga, wapemba na wasomali kwenye biashara lazima urudi kwake kwa huduma nzuri.
 
Nimeishi Moshi,Marangu

Wewe na mimi nani ana exposure?

Huna passport to begin with,halafu uko hapa kuuliza walio nje ya nchi eti wameshaishi nchi zipi,you have no that right maana huja earn that right yet!

Last time I checked,America ni foreign country to Tanzania!

Plus,my passports have stamps than all of your whole family put together!

Mengine ni extra showing of wivu na stupidity on your part!
Ah, ok kumbe Bro wewe Mmaranguu oukey sishangai tena Meku.
 
Nimeishi Moshi,Marangu

Wewe na mimi nani ana exposure?

Huna passport to begin with,halafu uko hapa kuuliza walio nje ya nchi eti wameshaishi nchi zipi,you have no that right maana huja earn that right yet!

Last time I checked,America ni foreign country to Tanzania!

Plus,my passports have stamps than all of your whole family put together!

Mengine ni extra showing of wivu na stupidity on your part!
Punguza Stress
 
Customer care bongo ni challenge sana ni vile watu tunaishi kwa mazoea sana na ipo karibia kwenye huduma nyingi tu. Ila kitu muhim kama unaona kuna changamoto kwa upande wa huduma zinazotolewa sehem A ni better to have other alternatives sehem nyingine ndio mana mm binafsi huwa napenda kula sehemu tofauti tofauti inasaidia kujua wapi unakuwa comfortable na services zao.
 
Tutasumbuana sana kuhusu neno "ustaarabu" and blah blah blah

Shida ni ubishi au basi tu ligi

Ustaarabu ni highest level of living whereby individual human rights are at the centre plus these humans are living with the highest materialistic satisfaction than everybody else

With all those USA is ahead of everybody else,nitajie alie mbele yake kwa ustaarabu huu?Huna

Ustaarabu unaowaza wewe wa kunya njiani na kula ukiwa umetanua midomo,etc has no place here na trivial

The country with the most freedoms is USA na sio nchi inayoitwa Biisa
Ndiyo maana unabisha ujinga. Unajua kwamba walevi,watembea uchi,wacheza kamari,wala riba wote hao si wastaarabu.

Katika uso huu wa dunia hakuna nchi kunafanyika maovu kuzidi Marekani. Ajabu ikawa ni nchi iliyo staarabika.

Ulitakiwa usome ujue asili ya neno ustaarabu kisha uje kutetea hoja yako.

Hakuna ustaarabu unao patikana kwa kampeni au kura ya wanachama na makubaliano ya wajinga fulani kama wewe,halafu unalazimisha uongo uwe ukweli.
 
Hapa nyumbani Tanzania huduma ni mbovu sana.

Baadhi ya wahudumu Wana attitude za ajabu sana.

Ni tatizo kubwa sana tulilonalo.
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Inawezekana kabisa shishi mwenyewe hapa jf hayupo,hivyo ujumbe hawezi kuu pata.
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Shishi Michuzi
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Kaa mezani relax sasa unalalamika nn
 
Sio kweli

Mteja mmoja sio muhimu kama wengine

Huwezi kuja na kusababisha trauma kwa wafanyakazi wangu sababu wewe ni mteja halafu nikuchekee

Get the fvck out,we dont need your stupid little money

And we reserve the right to refuse service to anyone...

Sio lazima tukuhudumie,tuna haki ya kutokukuhudumia na huwezi tufanya lolote!
Mtazamo wa hovyo sana huu. Kama kuna biashara unafanya namna hii, basi itakuwa inaelekea kufa. Makampuni yanatumia gharama kubwa ili kutangaza biashara zao na kuvutia wateja angalau hata mmoja. Wanajua nguvu ya mteja mmoja ndiyo maana wanatumia mamilioni kwa ajili ya matangazo ya biashara. Daima mteja atabaki kuwa mfalme na sahihi.
 
Back
Top Bottom