Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Shishi akifata ushauri huu biashara itamdodea Yani five minutes wahudumu hawakufati loh, mimi naondoka na sirudi tena hapo
Tena unaenda kutangaza au kuwaambia na wengine kuhusu huduma mbovu za sehemu husika Yaani...
 
tz wahudumu wanataka mteja awabembeleze badala ya mhudum kumbembeleza mteja lkn tutafika
 
Ila wateja wengine wa chakula Wana gubu sn..unaweza kufika mgahawani unakuta wateja wengine wanahudumiwa lkn unalazimisha uhudumiwe wewe,matokeo yake mnakwaruzana na wahudumu

NB :Mimi siyo mhudumu wa shishi food
Yote yanawezekana,inawezekana waudumu walikuwa na dharau au huyo mteja ndio mwenye matatizo.
Kuna baadhi ya wateja huwa wanapenda sana kunyenyekewa na kuogopwa hata kama amenunua kitu cha mia tano.
 
Kama si kweli basi si nitaondoka kwenda kwa seller ambae ananipigia magoti na kuniabudi kisha wewe biashara yako inakufa?
Aliyesema mteja ni mfalme hakukosea.
Unatakiwa kadri unavyopata wateja wengi inatakiwa uongeze wafanyakazi. Mteja anatakiwa anapoingia apewe huduma mara moja.
 
Aisee wewe Acha kudanganya watu Kwa kusema eti akiondoka mteja mmoja anakuja mwingine, umewahi kujiuliza Kwa nini kwenye hotel nyingi dunia a repeating guest anakuwa treated kama VIP?
Ni Kwa sababu ya kanuni moja tu ya kibiashara kuwa alilidhika na huduma ndo maana akarudi na anauwezekano mkubwa wa kukuletea wateja wengine. Heshimu Sana MTU anaitwa mteja kwenye biashara.
Nasikitika kuona unaongea habari za biashara kirahisi Sana na bahati nzuri au mbaya umeitaja marekani, hakuna demanding guest kama American na Indian dunia nzima. Unless huko marekani wewe unafanya kazi kwenye home care ambako unasubiri wazee na matahira wajiharishie ukawasafishe, hapo kweli Una haki ya kusema akiondoka mmoja anakuja mwingine. Make watu wanazeeka kila wakati
Hiyo paragraph ya mwishoni imenichekesha sana
 
Tena unaenda kutangaza au kuwaambia na wengine kuhusu huduma mbovu za sehemu husika Yaani...
Na akianza mteja mmoja husambaza habari kwa wote, shida wahudumu wengine wakiona watu huingiwa na byodo,Mimi hurudi sehemu hyo hyo kukiwa na huduma nzuri hata kama ni mbali sanaa
 
Wewe kua mteja sio tiketi ya abuse of your fellow human beings

Eti kwavile nauza products then mpumbavu kama wewe can come here and shit on me the way you want?

Over my dead body

Mkuu nikuhakikishie,hakuna turnover ya biashara yako unaweza ku-outdone me,I kill you day and night.

Huwezi niambia eti makampuni yana spend too much money to get one stupid client who is useless and with small purchasing power kama wewe?What are you smoking?

Kampuni inayofanya hivyo ndio maana zinakufa kama zako....

Principle ni kwamba kama price ya ku-pursue one client is too high kuliko anachonunua then you drop that stupid nigga....

Tanzania tunafeli kwa kukosa kua shrewd businessmen.

Nachojua nakushinda on everything...Sikujui hunijui,ila thinking yako inaonesha huna akili serious ya ku-run business kimdebwedo namna hiyo ndio maana umefeli
Wewe kua mteja sio tiketi ya abuse of your fellow human beings

Eti kwavile nauza products then mpumbavu kama wewe can come here and shit on me the way you want?

Over my dead body

Mkuu nikuhakikishie,hakuna turnover ya biashara yako unaweza ku-outdone me,I kill you day and night.

Huwezi niambia eti makampuni yana spend too much money to get one stupid client who is useless and with small purchasing power kama wewe?What are you smoking?

Kampuni inayofanya hivyo ndio maana zinakufa kama zako....

Principle ni kwamba kama price ya ku-pursue one client is too high kuliko anachonunua then you drop that stupid nigga....

Tanzania tunafeli kwa kukosa kua shrewd businessmen.

Nachojua nakushinda on everything...Sikujui hunijui,ila thinking yako inaonesha huna akili serious ya ku-run business kimdebwedo namna hiyo ndio maana umefeli

Go give charities..fvck you all!
Mkuu
Go give charities..fvck you all!

Wewe kua mteja sio tiketi ya abuse of your fellow human beings

Eti kwavile nauza products then mpumbavu kama wewe can come here and shit on me the way you want?

Over my dead body

Mkuu nikuhakikishie,hakuna turnover ya biashara yako unaweza ku-outdone me,I kill you day and night.

Huwezi niambia eti makampuni yana spend too much money to get one stupid client who is useless and with small purchasing power kama wewe?What are you smoking?

Kampuni inayofanya hivyo ndio maana zinakufa kama zako....

Principle ni kwamba kama price ya ku-pursue one client is too high kuliko anachonunua then you drop that stupid nigga....

Tanzania tunafeli kwa kukosa kua shrewd businessmen.

Nachojua nakushinda on everything...Sikujui hunijui,ila thinking yako inaonesha huna akili serious ya ku-run business kimdebwedo namna hiyo ndio maana umefeli

Go give charities..fvck you all!
Mkuu wewe unachanganya mambo. Mleta mada kuna sehemu amesema aliwatendea vibaya wahudumu? Ku abuse human beings ni jambo jingine. Hapa hatuzungumzii mteja kudharau wahudumu, tunazungumzia wahudumu kuwapokea wateja wao kwa unyenyekevu. Kama mteja amepokelewa vizuri na mhudumu, halafu mteja analeta dharau au kashfa kwa mhudumu hapo sawa.
Pia kwanini una react sana? Kwenye comment yangu umeona kuna tusi lolote nimekutukana? Kwa jinsi ulivyo jibu comment yangu, inaonesha huwezi kufanya biashara na ikafanikiwa. Kama kitu kidogo hivi una react, vipi kama akija mteja ambaye stress zake? Utaweza kumhudumia?
 
Shishi akifata ushauri huu biashara itamdodea Yani five minutes wahudumu hawakufati loh, mimi naondoka na sirudi tena hapo

Umeongea kweli
Watanzania wengi ni watu wa hovyo kwenye customer care hata hawajui kua mteja sio jukumu lake kukaa akisubiri, inabidi umekaa tu mhudumu huyo!
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Hujasema kama huyo mhudumu alikuwa M au F maana hao f wengine 'wakielewana' na boss ndiyo hivyo!

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wewe unachanganya mambo. Mleta mada kuna sehemu amesema aliwatendea vibaya wahudumu? Ku abuse human beings ni jambo jingine. Hapa hatuzungumzii mteja kudharau wahudumu, tunazungumzia wahudumu kuwapokea wateja wao kwa unyenyekevu. Kama mteja amepokelewa vizuri na mhudumu, halafu mteja analeta dharau au kashfa kwa mhudumu hapo sawa.
Pia kwanini una react sana? Kwenye comment yangu umeona kuna tusi lolote nimekutukana? Kwa jinsi ulivyo jibu comment yangu, inaonesha huwezi kufanya biashara na ikafanikiwa. Kama kitu kidogo hivi una react, vipi kama akija mteja ambaye stress zake? Utaweza kumhudumia?
Achana nae choko huyo anajifanya matawi kumbe boya furani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye haya maswala kuna pande mbili zenye matatizo.

Upande wa kwanza ni wa Wahudumu wenyewe. Kwamba wanakua na ile hali ya kudharau wateja. Hii inatokea sana pale ambapo mtu hapendi anachokifanya. Yuko pale kwa sababu tu alikosa cha kufanya.


Upande wa pili ni wateja. Hapa napo kuna kipengele. Bongo kuna mteja hata umlambe miguu, atalalamika tu. Mbongo anataka akikupa pesa. Basi akutese nayo. Angalia wahudumu wa Bar wanavyoteseka. Kisa tu mtu katoa elf 5 ya bia mbili anataka amshike na muhudumu sehemu nyeti. Bila kuzingatia kua huyo muhudumu ana haki ya kuheshimiwa.

Kwahiyo hili swala matatzo yake yapo pande zote
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Bosi wao mwenyewe kichwa chake kibovu, maneno mabovu
 
Back
Top Bottom