Wahubiri tumieni X-mas hii kuwaonya Polisi na Mwigulu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,062
103,260
Hakika katika watu walioongoza kwa kuchukiwa na kulaaniwa mwaka huu ni polisi. Hata dhana ya serikali kuonekana kama ya kidukiteta unasababishwa na polisi

Polisi wametishia rais,polisi wameshukiwa kuua,polisi wanetuhumiwa kutesa wakosiaji na watu wengine kwa mujibu wa Tundu Lissu,polisi wamekamata wakosoaji wa serikali kwa hoja za ajabu kabisa. Polisi wamemkamata Mkuu wetu Max Mello kwa hoja zisizo na mashiko kabisa.

Wamemdhalilisha na kumbughudhi Polisi wamewakamata waandishi wa habari,wabunge wa Ukawa katika hali ya kukandamiza demokrasia

Katika yote haya waziri mwenye dhamana amekuwa kimya huku akiwaonya raia wasiwaseme vibaya raia. Hapa tumembana JF kuhusu kupotea kwa Ben Saanane hakuna mkakati mahususi alioutoa zaidi ya kusema Ben ni family friend wake

Kabla hali haijawa mbaya,ni wakati wenu sasa wachungaji,makasisi na wahubiri kumkemea na kumuonya Mwigulu na polisi kwa maana waumini wenu tumechoshwa nao
 
Ni kweli mkuu nakuunga mkono pia wasisahau kumkumbusha mwenyekiti wetu wa ufipa yy ndie aliyekuwa anashinda na Ben Masaa yote iweje akae kimya na bila hata kutuambia Ben yuko wapi Mara ya mwisho ilikuwaje yupo tu atueleze bring back our Ben
 
Hakika katika watu walioongoza kwa kuchukiwa na kulaaniwa mwaka huu ni polisi. Hata dhana ya serikali kuonekana kama ya kidukiteta unasababishwa na polisi

Polisi wametishia rais,polisi wameshukiwa kuua,polisi wanetuhumiwa kutesa wakosiaji na watu wengine kwa mujibu wa Tundu Lissu,polisi wamekamata wakosoaji wa serikali kwa hoja za ajabu kabisa. Polisi wamemkamata Mkuu wetu Max Mello kwa hoja zisizo na mashiko kabisa.Wamemdhalilisha na kumbughudhi

Polisi wamewakamata waandishi wa habari,wabunge wa Ukawa katika hali ya kukandamiza demokrasia

Katika yote haya waziri mwenye dhamana amekuwa kimya huku akiwaonya raia wasiwaseme vibaya raia. Hapa tumembana JF kuhusu kupotea kwa Ben Saanane hakuna mkakati mahususi alioutoa zaidi ya kusema Ben ni family friend wake

Kabla hali haijawa mbaya,ni wakati wenu sasa wachungaji,makasisi na wahubiri kumkemea na kumuonya Mwigulu na polisi kwa maana waumini wenu tumechoshwa nao
Ukiona nchi ambayo polisi wamekuwa adui wa wananchi ni ishara mbaya sana .
 
Kwani polisi na Mwigulu wameajiriwa na wahubiri?Hamjui nchi inavyoendeshwa kila kada imewakataa, chadema mnatapa tapa.
Magufuli amekamata kila jamii,juzi mmemuona akiongea na Pengo,jana kawasili Singida kwa maadhimisho ya sikukuu.Nani atakemea serikali?
Magufuli ameanza kuujua mchezo wa siasa vizuri,angalau kwa mwaka huu mmoja amefanikiwa kuzima kelele za upinzani
 
Hakika katika watu walioongoza kwa kuchukiwa na kulaaniwa mwaka huu ni polisi. Hata dhana ya serikali kuonekana kama ya kidukiteta unasababishwa na polisi

Polisi wametishia rais,polisi wameshukiwa kuua,polisi wanetuhumiwa kutesa wakosiaji na watu wengine kwa mujibu wa Tundu Lissu,polisi wamekamata wakosoaji wa serikali kwa hoja za ajabu kabisa. Polisi wamemkamata Mkuu wetu Max Mello kwa hoja zisizo na mashiko kabisa.

Wamemdhalilisha na kumbughudhi Polisi wamewakamata waandishi wa habari,wabunge wa Ukawa katika hali ya kukandamiza demokrasia

Katika yote haya waziri mwenye dhamana amekuwa kimya huku akiwaonya raia wasiwaseme vibaya raia. Hapa tumembana JF kuhusu kupotea kwa Ben Saanane hakuna mkakati mahususi alioutoa zaidi ya kusema Ben ni family friend wake

Kabla hali haijawa mbaya,ni wakati wenu sasa wachungaji,makasisi na wahubiri kumkemea na kumuonya Mwigulu na polisi kwa maana waumini wenu tumechoshwa nao
UNAPASWA WAKATI UNAANDIKA NI VYEMA UKAJUA KITU GANI UNAANDIKA KATIKA BIBLIA HAKUNA KITU KINACHOITWA X-MASS BALI KUNA CHRISTMAS
 
pia ungeeongeza basi wahubiri wawabariki majambazi na vibaka....madereva walevi....ili tukujue uko upande gani.....ungeongea kwa takwimu pia ingekusaidia
 
Kwani polisi na Mwigulu wameajiriwa na wahubiri?Hamjui nchi inavyoendeshwa kila kada imewakataa, chadema mnatapa tapa.
Magufuli amekamata kila jamii,juzi mmemuona akiongea na Pengo,jana kawasili Singida kwa maadhimisho ya sikukuu.Nani atakemea serikali?
Magufuli ameanza kuujua mchezo wa siasa vizuri,angalau kwa mwaka huu mmoja amefanikiwa kuzima kelele za upinzani
Ni furaha gani unaipata kwa wananchi wasio na hatia kuteswa ?

Halafu huyu unayemsifia kuzima upinzani mbona anatumia majeshi yote , yeye kama anao uwezo na anaamini anakubalika kama anavyodanganywa ( Tuzo ya Forbes ) , kwanini tusikutane naye jukwaani ?
 
Hakika katika watu walioongoza kwa kuchukiwa na kulaaniwa mwaka huu ni polisi. Hata dhana ya serikali kuonekana kama ya kidukiteta unasababishwa na polisi

Polisi wametishia rais,polisi wameshukiwa kuua,polisi wanetuhumiwa kutesa wakosiaji na watu wengine kwa mujibu wa Tundu Lissu,polisi wamekamata wakosoaji wa serikali kwa hoja za ajabu kabisa. Polisi wamemkamata Mkuu wetu Max Mello kwa hoja zisizo na mashiko kabisa.

Wamemdhalilisha na kumbughudhi Polisi wamewakamata waandishi wa habari,wabunge wa Ukawa katika hali ya kukandamiza demokrasia

Katika yote haya waziri mwenye dhamana amekuwa kimya huku akiwaonya raia wasiwaseme vibaya raia. Hapa tumembana JF kuhusu kupotea kwa Ben Saanane hakuna mkakati mahususi alioutoa zaidi ya kusema Ben ni family friend wake

Kabla hali haijawa mbaya,ni wakati wenu sasa wachungaji,makasisi na wahubiri kumkemea na kumuonya Mwigulu na polisi kwa maana waumini wenu tumechoshwa nao
Huku Africa watu wanaoongoza kwa UFKI ni hao wanaopenda Kuitwa Viongoz wa DINI wakimuona Mwana Siasa Akija kusali kwenye maKANISA yao ni Kujichekesha tu
 
Ni furaha gani unaipata kwa wananchi wasio na hatia kuteswa ?

Halafu huyu unayemsifia kuzima upinzani mbona anatumia majeshi yote , yeye kama anao uwezo na anaamini anakubalika kama anavyodanganywa ( Tuzo ya Forbes ) , kwanini tusikutane naye jukwaani ?
Nani anaeteseka?
Rais ndio amiri jeshi,na majeshi yote yapo kwa ajili yake,hii ni duniani kote.Hata Rais wa chadema akipata madaraka atalitumia jeshi hilo hilo,hawezi kulivunja.
Fanya kazi dada,mambo ya kuongea uongo majukwaani yanapoteza muda,wakati wa uchaguzi kila mtu atapimwa kwa kazi yake
 
Nani anaeteseka?
Rais ndio amiri jeshi,na majeshi yote yapo kwa ajili yake,hii ni duniani kote.Hata Rais wa chadema akipata madaraka atalitumia jeshi hilo hilo,hawezi kulivunja.
Fanya kazi dada,mambo ya kuongea uongo majukwaani yanapoteza muda,wakati wa uchaguzi kila mtu atapimwa kwa kazi yake
Kazi ya majeshi ni kulinda mipaka , usalama wa raia na mali zao baaasi , LAKINI SI KUISAIDIA CCM KUKANYAGA KATIBA .

Na hili nataka kila mbumbumbu aelewe , maana siku ya siku huwezi kujitetea kwamba ulitii amri ya mtu , mfano hai ni Saddam Husein na kundi lake .
 
UNAPASWA WAKATI UNAANDIKA NI VYEMA UKAJUA KITU GANI UNAANDIKA KATIKA BIBLIA HAKUNA KITU KINACHOITWA X-MASS BALI KUNA CHRISTMAS
Na Kwataarifa yako hata kwenye Biblia hakuna neno Christmas wala Xmas


Na taarifa nyingine ni kuwa
Hakuna Tifauti kati ya Xmas na Christmas..Yote ni maneno Sawa....

Kingine Siyo XMASS yenye double S ila XMAS ya Single S

Mas ni neno la Kigiriki lilitumika kumaanisha Festival, Sherehe,

Hivyo Christmas au Xmas maana yake ni Christ Festival
 
mm siku zote napenda kwenda kinyume ktk maeneo flan2 ambayo naona hum jf wa2 wanaweka andiko ambalo aidha linawagusa watu moja kwa moja au la,mfano police kuwanyanyasa raia,n kwel wananyanyasika au wanafundishwa na na kuish? kama raia wangekuwa wananyanyasika lazima wangefanya maamuz magumu kama haya,1.kutoruhusu polisi kupanga kwene nyumba zao,2.kutoshirikiana ktk masuala ya kijamii kama vle kuwa nao ktk maeneo ya starehe na hata masuala shda. Lkn kwa kuwa hawanyanyasiki ndio maana bado wanapangisha ktk nyumba zao huwez niambia wanapangisha kwasababu wanataka pesa kwan wao n weng kuliko raia ? mbona raia weng sana wanasaka vyumba vya kupanga na wkt mwingne hawa polisi wamekuwa wabish kulipa pango kisa wao n polisi hvyo siamin sana kama kwel polisi wanawanyanya raia na kuwatesa kama mwanajf ulivyosema!
 
Back
Top Bottom