Sawa mkuu,tuma salamu kwa watu watatu.Kumekua na tabia ya wahubiri kwenye rout kupanda kupiga injili mwisho kuomba sadaka mbona wa mbagal gmboto haya mambo hayapo
Au awe na usafiri binafsi ,Solution hamia route ya mbagala - gongolamboto
Mbagala, temeke huko utakutana na mihadhara, yesu sio Mungu sijui nini na niniKumekuwa na tabia ya wahubiri kwenye route kupanda kupiga injili mwisho kuomba sadaka, mbona wa Mbagala Gongo la Mboto haya mambo hayapo?
Nimecheka kinoma mzeeMbagala, temeke huko utakutana na mihazala, yesu sio Mungu sijui nini na nini
Majin na mapepo wanayo hao wahuni wanaojificha kwenye kuhubir, kwanza majin yangekuwa yanaogopa izo injili zenu za kipuuzi mbona yangeisha tangu zamani?Utakua na jini/pepo sio bure hayo huogopa sana kusikiliza injili yasije yakaungua moto.
Nakushauri mpokee Yesu kristo upate kuokolewa na hukumu ile ya mwisho..sadaka usiache kutoa.
#MaendeleoHayanaChama
Bongofleva haiusian na dini na ni aina ya muziki wa waswahili tofauti na izo dini zenu za kihuni zilizoletwa kwa mauwaji ya maelfu ya waafrikaUtakuwa muislamu kama sijakosea , mbona bongofleva kupigwa kwenye daladala haulalamikiau nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani
Hunizidi?!Nimecheka kinoma mzee
Huoni kubambiana ndani ya mabasi kumepungua mzee?Kumekuwa na tabia ya wahubiri kwenye route kupanda kupiga injili mwisho kuomba sadaka, mbona wa Mbagala Gongo la Mboto haya mambo hayapo?
Au awe na usafiri binafsi ,
Ajui nn maana ya public transport
Sio kila mtu anapenda kupigiwa keleleHawaja vunja Sheria,
Kuliko kusikiliza singeli zilizo na matusi Ni Bora wakupe mawazo chanya
Na sadaka haujalazimishwa kutoa
hii mambo nilikutana nayo mandela road kipande cha buguruni-tazara mama mtumzima kapanda kaanza kushusha mistari ya mawaidha. kufika foleni ya daraja la mfugale akaanza kutaka sadaka nikaona watu wanaanza kujisachi na kuchomo mwenye buku twende jero twende. mimi kwa kweli nilisita. kufika kituo cha tazara akashula.Kumekuwa na tabia ya wahubiri kwenye route kupanda kupiga injili mwisho kuomba sadaka, mbona wa Mbagala Gongo la Mboto haya mambo hayapo?
Kuna 'Mhubiri Kero' Mmoja nilipoona tu kapanda Dala Dala pale Mwenge nikajua anataka kuanza kutupigia Mikelele yake na alipoanza tu kwa Makusudi nikatafuta Ugomvi nae wa Maneno kwa kumwambia anaturushia Mate na hatuna uhakika kama kapiga Mswaki na akapaniki kisha kwa Hasira akasusa na Kushukia ITV na Injili yake ya Kero nayo ikaishia ITV.Kumekuwa na tabia ya wahubiri kwenye route kupanda kupiga injili mwisho kuomba sadaka, mbona wa Mbagala Gongo la Mboto haya mambo hayapo?