Wahitimu wa Vyuo tuache kulalamika

Jackwillpower

JF-Expert Member
Oct 4, 2017
2,299
3,411
Graduate wa kizazi hiki tunatia aibu, kila siku kulalamika, nimehitimu na wenzangu ninachoongea nakiona, unakuta mtu ana degree hata kutafuta na kutuma nafasi za ajira hawezi ,nina jamaa zangu kila kukicha ni kulaumu serikali, lkn hawana muda wa kujifunza kuandika CV,COVER LETTER na APPLICATION LETTER zenye USHAWISHI.....

Kila siku wao nikulalamikia serikali tu, nilikuja kushangaa mwenzangu tuliyehitimu naye haijui hata PSRS UTUMISHI, MABUMBE,JOB NET,AJIRA LEO,E-KAZZI,BRIGHT MONDAY N.K YEYE NI KULALAMIKA TU.... cha ajabu hata kuandika CV, barua za maombi hawezi, huyu ni sample, lkn nilifaya utafiti ni wengi sana ya wahitimu wapo hivi, binafsi niliamini ktk MAOMBI, JUHUDI kisha bahati hufata mkondo.....



nilipohitimu tu chuo ilinichukua miezi mitatu tu kuajiriwa na KAMPUNI YA MZUNGU...Hapa hapa TZ kwa mshahara wenye figure 6,

Sikutaka kuamini maneno ya wenzangu tukikutana vijiweni eti OHOO UTUMISHI HAWAFAI, UTUMISHI WANAWEKA NDUGU ZAO, UTUMISH MITIHANI MIGUMU BORA USIENDE, AJIRA NGUMU SANA(Sikatai ni kweli lkn je unatuma maombi ? ajira kila siku zinatangazwa kama hujui hasa za makampuni binafsi, mimi )

Nilikuwa nikitoka kijiweni, nawasha laptop yangu nitakesha nitatuma maombi kila sehemu ,kupitia Platform mbalimbali.... Siku moja nikaona tangazo la kada yangu Mzungu ANATAKA mtu, nikicheki nina sifa kasoro moja sina experience ya miaka anayotaka, NIKATUMA HIVO HIVO...

Baada ya siku 2 akanicheki tukajadili akasema atanipa another position ktk kampuni yake, nipo mpaka sasa , hata vyeti hajawahi kuniomba....

Wakati huo NIMESHAOMBA kazi utumishi ili nijaribu maneno ya watu je kupita ni ngumu...for the first time NIKAPITA WRITTEN.... nikaenda ORAL.... sikubahatika kutoboa.... LKN NILIJIFUNZA VITU Kwanza watu wanakatisha tamaa, maana wengi hawakuja ,pia maneno kuwa mitihani inavuja yanakatisha tamaa,

Nakumbuka baada ya mtihani kuna jamaa yangu mlalamishi sana kwa serikali...aliupiga picha...jion akaupost whatsapp groups, cha ajabu nikaanza kuona tuhuma ule mtihani ulivuja,.....huku na yeye akiaminisha watu hivo...maana kwenye Written hakupita...

juzi nimesikia mtihani wa TAX kama sijakosea ulivuja... siwezi kulisemea lkn.... hizi habari zinakatisha tamaa , lkn mjiulize kama ulivuja why haukuletwa humu kabla, umeletwa baada ya kufanyika.....

Graduate tuache lawama, tuhangaike, tufanye juhudi, tuombe MUNGU,tuwe wabunifu... Mungu hamtupi mja wake ,omba nafasi za kazi, usikatishwe tamaa....

binafsi nimekuwa nikiitwa interview kila siku hadi nimezikinai...na nipo kazini .....

NIMEKUJA KUHITIMISHA KUWA VIJANA TUNALALAMIKA SANA LAKINI HATUJISHUGHULISHI....
 
Graduate wa kizazi hiki tunatia aibu, kila siku kulalamika, nimehitimu na wenzangu ninachoongea nakiona, unakuta mtu ana degree hata kutafuta na kutuma nafasi za ajira hawezi ,nina jamaa zangu kila kukicha ni kulaumu serikali, lkn hawana muda wa kujifunza kuandika CV,COVER LETTER na APPLICATION LETTER zenye USHAWISHI.....

Kila siku wao nikulalamikia serikali tu, nilikuja kushangaa mwenzangu tuliyehitimu naye haijui hata PSRS UTUMISHI, MABUMBE,JOB NET,AJIRA LEO,E-KAZZI,BRIGHT MONDAY N.K YEYE NI KULALAMIKA TU.... cha ajabu hata kuandika CV, barua za maombi hawezi, huyu ni sample, lkn nilifaya utafiti ni wengi sana ya wahitimu wapo hivi, binafsi niliamini ktk MAOMBI, JUHUDI kisha bahati hufata mkondo.....

nilipohitimu tu chuo ilinichukua miezi mitatu tu kuajiriwa na KAMPUNI YA MZUNGU...Hapa hapa TZ kwa mshahara wenye figure 6,

Sikutaka kuamini maneno ya wenzangu tukikutana vijiweni eti OHOO UTUMISHI HAWAFAI, UTUMISHI WANAWEKA NDUGU ZAO, UTUMISH MITIHANI MIGUMU BORA USIENDE, AJIRA NGUMU SANA(Sikatai ni kweli lkn je unatuma maombi ? ajira kila siku zinatangazwa kama hujui hasa za makampuni binafsi, mimi )

Nilikuwa nikitoka kijiweni, nawasha laptop yangu nitakesha nitatuma maombi kila sehemu ,kupitia Platform mbalimbali.... Siku moja nikaona tangazo la kada yangu Mzungu ANATAKA mtu, nikicheki nina sifa kasoro moja sina experience ya miaka anayotaka, NIKATUMA HIVO HIVO...

Baada ya siku 2 akanicheki tukajadili akasema atanipa another position ktk kampuni yake, nipo mpaka sasa , hata vyeti hajawahi kuniomba....

Wakati huo NIMESHAOMBA kazi utumishi ili nijaribu maneno ya watu je kupita ni ngumu...for the first time NIKAPITA WRITTEN.... nikaenda ORAL.... sikubahatika kutoboa.... LKN NILIJIFUNZA VITU Kwanza watu wanakatisha tamaa, maana wengi hawakuja ,pia maneno kuwa mitihani inavuja yanakatisha tamaa,

Nakumbuka baada ya mtihani kuna jamaa yangu mlalamishi sana kwa serikali...aliupiga picha...jion akaupost whatsapp groups, cha ajabu nikaanza kuona tuhuma ule mtihani ulivuja,.....huku na yeye akiaminisha watu hivo...maana kwenye Written hakupita...

juzi nimesikia mtihani wa TAX kama sijakosea ulivuja... siwezi kulisemea lkn.... hizi habari zinakatisha tamaa , lkn mjiulize kama ulivuja why haukuletwa humu kabla, umeletwa baada ya kufanyika.....

Graduate tuache lawama, tuhangaike, tufanye juhudi, tuombe MUNGU,tuwe wabunifu... Mungu hamtupi mja wake ,omba nafasi za kazi, usikatishwe tamaa....

binafsi nimekuwa nikiitwa interview kila siku hadi nimezikinai...na nipo kazini .....

NIMEKUJA KUHITIMISHA KUWA VIJANA TUNALALAMIKA SANA LAKINI HATUJISHUGHULISHI....
Msg sent
 
Tumekuelewa mkuu, tunapaswa kubadilika kila mmoja kwa nafasi yake.

Tuache ile kusema nafasi yenyewe moja tayari ashawekwa mjukuu wa mkurugenzi.
Mtu akisema hivi ,basi mimi huwa naona anavusha wenzie maana hatatokea kwenye interview...akiamini tyr ile nafasi ina mtu.... mimi hata nafasi iwe 1 naitaigombania tu.. nikashindwe mbele ya safari
 
Graduate wa kizazi hiki tunatia aibu, kila siku kulalamika, nimehitimu na wenzangu ninachoongea nakiona, unakuta mtu ana degree hata kutafuta na kutuma nafasi za ajira hawezi ,nina jamaa zangu kila kukicha ni kulaumu serikali, lkn hawana muda wa kujifunza kuandika CV,COVER LETTER na APPLICATION LETTER zenye USHAWISHI.....

Kila siku wao nikulalamikia serikali tu, nilikuja kushangaa mwenzangu tuliyehitimu naye haijui hata PSRS UTUMISHI, MABUMBE,JOB NET,AJIRA LEO,E-KAZZI,BRIGHT MONDAY N.K YEYE NI KULALAMIKA TU.... cha ajabu hata kuandika CV, barua za maombi hawezi, huyu ni sample, lkn nilifaya utafiti ni wengi sana ya wahitimu wapo hivi, binafsi niliamini ktk MAOMBI, JUHUDI kisha bahati hufata mkondo.....



nilipohitimu tu chuo ilinichukua miezi mitatu tu kuajiriwa na KAMPUNI YA MZUNGU...Hapa hapa TZ kwa mshahara wenye figure 6,

Sikutaka kuamini maneno ya wenzangu tukikutana vijiweni eti OHOO UTUMISHI HAWAFAI, UTUMISHI WANAWEKA NDUGU ZAO, UTUMISH MITIHANI MIGUMU BORA USIENDE, AJIRA NGUMU SANA(Sikatai ni kweli lkn je unatuma maombi ? ajira kila siku zinatangazwa kama hujui hasa za makampuni binafsi, mimi )

Nilikuwa nikitoka kijiweni, nawasha laptop yangu nitakesha nitatuma maombi kila sehemu ,kupitia Platform mbalimbali.... Siku moja nikaona tangazo la kada yangu Mzungu ANATAKA mtu, nikicheki nina sifa kasoro moja sina experience ya miaka anayotaka, NIKATUMA HIVO HIVO...

Baada ya siku 2 akanicheki tukajadili akasema atanipa another position ktk kampuni yake, nipo mpaka sasa , hata vyeti hajawahi kuniomba....

Wakati huo NIMESHAOMBA kazi utumishi ili nijaribu maneno ya watu je kupita ni ngumu...for the first time NIKAPITA WRITTEN.... nikaenda ORAL.... sikubahatika kutoboa.... LKN NILIJIFUNZA VITU Kwanza watu wanakatisha tamaa, maana wengi hawakuja ,pia maneno kuwa mitihani inavuja yanakatisha tamaa,

Nakumbuka baada ya mtihani kuna jamaa yangu mlalamishi sana kwa serikali...aliupiga picha...jion akaupost whatsapp groups, cha ajabu nikaanza kuona tuhuma ule mtihani ulivuja,.....huku na yeye akiaminisha watu hivo...maana kwenye Written hakupita...

juzi nimesikia mtihani wa TAX kama sijakosea ulivuja... siwezi kulisemea lkn.... hizi habari zinakatisha tamaa , lkn mjiulize kama ulivuja why haukuletwa humu kabla, umeletwa baada ya kufanyika.....

Graduate tuache lawama, tuhangaike, tufanye juhudi, tuombe MUNGU,tuwe wabunifu... Mungu hamtupi mja wake ,omba nafasi za kazi, usikatishwe tamaa....

binafsi nimekuwa nikiitwa interview kila siku hadi nimezikinai...na nipo kazini .....

NIMEKUJA KUHITIMISHA KUWA VIJANA TUNALALAMIKA SANA LAKINI HATUJISHUGHULISHI....
Kwa hiyo basi ndo unajiona genius na kuona wengine ambao hawajapata hawajitumi , ni wavivu , ni vilaza , hawana future , hawajui kuandika CV..
dah! ila Mungu wetu sote.
Hongera kwa ajira ya figure 6 kwa MZUNGU , ngoja sie vilaza tuendelee kulalamika
 
Graduate wa kizazi hiki tunatia aibu, kila siku kulalamika, nimehitimu na wenzangu ninachoongea nakiona, unakuta mtu ana degree hata kutafuta na kutuma nafasi za ajira hawezi ,nina jamaa zangu kila kukicha ni kulaumu serikali, lkn hawana muda wa kujifunza kuandika CV,COVER LETTER na APPLICATION LETTER zenye USHAWISHI.....

Kila siku wao nikulalamikia serikali tu, nilikuja kushangaa mwenzangu tuliyehitimu naye haijui hata PSRS UTUMISHI, MABUMBE,JOB NET,AJIRA LEO,E-KAZZI,BRIGHT MONDAY N.K YEYE NI KULALAMIKA TU.... cha ajabu hata kuandika CV, barua za maombi hawezi, huyu ni sample, lkn nilifaya utafiti ni wengi sana ya wahitimu wapo hivi, binafsi niliamini ktk MAOMBI, JUHUDI kisha bahati hufata mkondo.....



nilipohitimu tu chuo ilinichukua miezi mitatu tu kuajiriwa na KAMPUNI YA MZUNGU...Hapa hapa TZ kwa mshahara wenye figure 6,

Sikutaka kuamini maneno ya wenzangu tukikutana vijiweni eti OHOO UTUMISHI HAWAFAI, UTUMISHI WANAWEKA NDUGU ZAO, UTUMISH MITIHANI MIGUMU BORA USIENDE, AJIRA NGUMU SANA(Sikatai ni kweli lkn je unatuma maombi ? ajira kila siku zinatangazwa kama hujui hasa za makampuni binafsi, mimi )

Nilikuwa nikitoka kijiweni, nawasha laptop yangu nitakesha nitatuma maombi kila sehemu ,kupitia Platform mbalimbali.... Siku moja nikaona tangazo la kada yangu Mzungu ANATAKA mtu, nikicheki nina sifa kasoro moja sina experience ya miaka anayotaka, NIKATUMA HIVO HIVO...

Baada ya siku 2 akanicheki tukajadili akasema atanipa another position ktk kampuni yake, nipo mpaka sasa , hata vyeti hajawahi kuniomba....

Wakati huo NIMESHAOMBA kazi utumishi ili nijaribu maneno ya watu je kupita ni ngumu...for the first time NIKAPITA WRITTEN.... nikaenda ORAL.... sikubahatika kutoboa.... LKN NILIJIFUNZA VITU Kwanza watu wanakatisha tamaa, maana wengi hawakuja ,pia maneno kuwa mitihani inavuja yanakatisha tamaa,

Nakumbuka baada ya mtihani kuna jamaa yangu mlalamishi sana kwa serikali...aliupiga picha...jion akaupost whatsapp groups, cha ajabu nikaanza kuona tuhuma ule mtihani ulivuja,.....huku na yeye akiaminisha watu hivo...maana kwenye Written hakupita...

juzi nimesikia mtihani wa TAX kama sijakosea ulivuja... siwezi kulisemea lkn.... hizi habari zinakatisha tamaa , lkn mjiulize kama ulivuja why haukuletwa humu kabla, umeletwa baada ya kufanyika.....

Graduate tuache lawama, tuhangaike, tufanye juhudi, tuombe MUNGU,tuwe wabunifu... Mungu hamtupi mja wake ,omba nafasi za kazi, usikatishwe tamaa....

binafsi nimekuwa nikiitwa interview kila siku hadi nimezikinai...na nipo kazini .....

NIMEKUJA KUHITIMISHA KUWA VIJANA TUNALALAMIKA SANA LAKINI HATUJISHUGHULISHI....
Ukwl mtupu ulichoongea Wahitim wengi hawajui kuandaa cv
 
Back
Top Bottom