mumak
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,069
- 661
Kutokana na serikari kutotoa ajira za walimu wa masomo ya sanaa wahitimu wengi wengi tumekua tukikata tamaa za kupata ajira,hivyo napenda kuwatia moyo wahitimu wenzangu kwamba mambo yatakua mazuri tu soon tumuombeeni tu muheshimiwa rais naamini siku moja atatufanyia suprise hivyo tumpe mda akamilishe miradi mikubwa kwanza,naamini ndani ya mwaka ujao huwenda nasi akatufikilia pia kwahiyo tulinde taaluma zetu tusijiingize ktk makundi hovu ili tuje kujenga taifa letu.nimaoni yangu tu wandugu.