Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,488
- 51,067
Wazungu huwa wakitusaidia kwa mikopo nafuu, au kutusapoti bure kwenye bajeti zetu, au wanapotusaidia kwenye miradi mbalimbali kama ya Afya, au Ujenzi wa miundo mbinu Serikali ya CCM huwaita WAHISANI na husema kuwa uhusiano wetu na wao ni Mzuri
Lakini Watu walewale wakianza kuhoji matendo ya serikali yetu kama vile Haki za binadamu, Uhuru wa habari, utawala bora na utawala wa sheria huwa Vijana wa CCM wanawaita MABEBERU
Hivi Beberu Mbaya inawezekanaje akawa mhisani?
Lakini Watu walewale wakianza kuhoji matendo ya serikali yetu kama vile Haki za binadamu, Uhuru wa habari, utawala bora na utawala wa sheria huwa Vijana wa CCM wanawaita MABEBERU
Hivi Beberu Mbaya inawezekanaje akawa mhisani?