Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,646
SanaaaKuchukua kuzifunga na kuzichafua nyota sio wahindi peke yao hata waafrika kwa kutumia Nguvu za giza wanafanya hayo
Nenda kwny ma-wizara
Siasa
Ofisi
Nk
Si wengine tunajionea live kwny ibada ni shida!