Dejavu
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,568
- 3,424
Leo downtown Dar nimeingia kwenye tower moja maarufu sana na humo kuna ofisi kibao za watu mbalimbali, ofisi zote ziko clean and clear ila ofisi zote za wahindi nilizoingia nilikuta ndulele aka power bank zinaning'ia mlangoni.
Wanapiga fusho tu huko ndani! Nimeshangaa sana afu hawana hata aibu wanafanya yao tu very comfortably bila kumhofia yeyote yule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapiga fusho tu huko ndani! Nimeshangaa sana afu hawana hata aibu wanafanya yao tu very comfortably bila kumhofia yeyote yule.
Sent using Jamii Forums mobile app