il dire
Member
- Nov 9, 2010
- 76
- 29
people izi idea za kuongea mambo kwa kubaguana kwa kuanzia na misingi ya udini, ukabila, race na itikadi kutaipeleka pabaya taifa hili. kwanini wa2 wasiishi kma nyerere alivyopenda just peace an harmony. politics sio lazima kuchafuana na kuchokoana au gutt politics siasa ikitumiwa vizuri ni chanzo cha maendeleo ki2 ambacho hakipo Tanzania.