Mzee Warioba, Butiku, Mkapa, Kikwete, and a few other high ranking retirees! Mmekaa kimya as if nchi mliyokabidiwa iko salama kwa vizazi hivi na vijavyo! As if hakuna lolote la kukemea, kushauri etc. As if kila kitu ni chema kama mlivyokiacha.
Kuleni pensheni zenu lakini mjue mna deni kubwa mbele ya Mwenyezi mungu, maana nyote huwa mnamnena Mungu sana kwenye vinywa vyenu! Bado mko hai, nchi hii bado iko kwenye dhamana yenu!
Kuleni pensheni zenu lakini mjue mna deni kubwa mbele ya Mwenyezi mungu, maana nyote huwa mnamnena Mungu sana kwenye vinywa vyenu! Bado mko hai, nchi hii bado iko kwenye dhamana yenu!