Kama record zangu ziki sawasawa waheshimiwa waliomtoa Bungeni Mh. Zitto Kabwe karibu wote wameshindwa kutetea nafasi zao. Mfano John Malecela, Nazir karamagi, Batilda Burian, Ruth Msafiri na "Joka la Mdimu" Mudhihir wa Mudhihir. Kumbe watanzania wanajua kutoa adhabu! Big up wapiga kura wa majimbo husika.