Geofrey Kimaro
Member
- Apr 3, 2012
- 9
- 0
Mimi naona tufike mahali Serikali itueleze kama mtumishi anaumwa muda mrefu na hawezi kutekeleza kazi zake sababu ya Ugonjwa alio nao,ni lazma aachie ngazi wachaguliwe wengine.
Angalizo kuokoa pesa na muda unaotumika kufanya uchaguzi upya.Napendekeza mshidi wa pili apitshwe kuongoza kipindi kilicho bakia.Hii itapunguza gharama zisizo za lazma.
Angalizo kuokoa pesa na muda unaotumika kufanya uchaguzi upya.Napendekeza mshidi wa pili apitshwe kuongoza kipindi kilicho bakia.Hii itapunguza gharama zisizo za lazma.