President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Kuna baadhi ya wabunge hawajahudhuria vikao vya Bunge kwa muda mrefu sana, wengine tangu waapishwe kuwa wabunge, kutokana na maradhi ya muda mrefu. Kwa heshima kubwa na kwa kujali afya zao, na pia kutoa fursa kwa watu wengine kutumikia wananchi katika majimbo yao, ni jambo la kiungwana kama watajiuzulu ili kusukuma mbele gurudumu la maendeleo.
Naomba kuunga mkono hoja.
Naomba kuunga mkono hoja.