Waheshimiwa Dr. Pombe Magufuli na Dr. Cyril Chami

Ndachuwa

JF-Expert Member
Mar 8, 2006
6,269
4,569
Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza kwa kazi nzuri manayofanya ya kuwaletea maendeleo wananchi wa Taifa hili la Tanzania. Pongezi binafsi ziende kwa Mh. Dr Magufuli kwa kusimamia vema ubora wa miradi ya barabara (Value for Money). Msukumo wangu wa kuwaandikia ni kuhusiana na mradi wa barabara ya Kibosho road kwenda Umbwe; nakupongeza sana Mh. Dr Cyril Chami kwa kuweza kufanya kile walichoshindwa watangulizi wako kama kina Ngawaiya, Lyatonga Mrema, Ngatolaoni na wengineo. Katika kipindi cha ubunge wako utakuwa umeacha historia ambayo itadumu miaka mingi ijayo ya kuweka barabara hiyo lami.

Jumanne ya tarehe 16/10/2012 nikiwa katika shughuli za jamii (msiba) nilibahatika kupita hiyo barabara ya Kibosho road - Umbwe na kujionea kazi inayoendelea ya kushindilia vifusi. Nilipofika maeneo ya Kindi nilishangaa kukuta lami lakini kilichonishangaza zaidi ni ubora wa hiyo lami. Nadhani ile itakuwa ni rangi ya lami inayopakwa kwenye barabara na siyo "tarmac road" inayotengenezwa. Mh. Dr. Magufuli hausiki lakini nafahamu wakaguzi wa hiyo miradi (Tanroads) wanasimamiwa na Wizara yake. Ni kichekesho barabara ya lami na tayari kuna na viraka. Mh. Dr Cyril Chami tafadhali wachukue wataalamu wa barabara toka Tanroads ukakague na kujionea hiyo kazi inayofanyika...ni kiini macho hakuna ubora utakaopatikana kwa mtindo huo wa kuweka lami kama unapaka rangi piusi Mallya Mary Chuwa
 
Last edited by a moderator:
Maghufuri ni mnafki na mtu asiye na msimamo .Atie mguu wake kwenye urais aone madudu yake yatavyoanikwa
 
Hiyo barabara nmepita siku si nyingi hata mimi mwenyewe nilishangaa sanaa hiyo lami lakini nasikia wengine wanasema ndo layer ya kwanza bado kuna nyingine kwa hiyo tusubiri tuone.. Na chakushangaza deadline imekaribia kufika..
 
Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza kwa kazi nzuri manayofanya ya kuwaletea maendeleo wananchi wa Taifa hili la Tanzania. Pongezi binafsi ziende kwa Mh. Dr Magufuli kwa kusimamia vema ubora wa miradi ya barabara (Value for Money). Msukumo wangu wa kuwaandikia ni kuhusiana na mradi wa barabara ya Kibosho road kwenda Umbwe; nakupongeza sana Mh. Dr Cyril Chami kwa kuweza kufanya kile walichoshindwa watangulizi wako kama kina Ngawaiya, Lyatonga Mrema, Ngatolaoni na wengineo. Katika kipindi cha ubunge wako utakuwa umeacha historia ambayo itadumu miaka mingi ijayo ya kuweka barabara hiyo lami.

Jumanne ya tarehe 16/10/2012 nikiwa katika shughuli za jamii (msiba) nilibahatika kupita hiyo barabara ya Kibosho road - Umbwe na kujionea kazi inayoendelea ya kushindilia vifusi. Nilipofika maeneo ya Kindi nilishangaa kukuta lami lakini kilichonishangaza zaidi ni ubora wa hiyo lami. Nadhani ile itakuwa ni rangi ya lami inayopakwa kwenye barabara na siyo "tarmac road" inayotengenezwa. Mh. Dr. Magufuli hausiki lakini nafahamu wakaguzi wa hiyo miradi (Tanroads) wanasimamiwa na Wizara yake. Ni kichekesho barabara ya lami na tayari kuna na viraka. Mh. Dr Cyril Chami tafadhali wachukue wataalamu wa barabara toka Tanroads ukakague na kujionea hiyo kazi inayofanyika...ni kiini macho hakuna ubora utakaopatikana kwa mtindo huo wa kuweka lami kama unapaka rangi piusi Mallya Mary Chuwa

Eeeka sana Munama kyasi kufuatilya barabara ta bo
 
Huwa wakati mwingine muwe na subira hii ni prime coat kuondoa vumbi lami hasa badoo
 
Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza kwa kazi nzuri manayofanya ya kuwaletea maendeleo wananchi wa Taifa hili la Tanzania. Pongezi binafsi ziende kwa Mh. Dr Magufuli kwa kusimamia vema ubora wa miradi ya barabara (Value for Money). Msukumo wangu wa kuwaandikia ni kuhusiana na mradi wa barabara ya Kibosho road kwenda Umbwe; nakupongeza sana Mh. Dr Cyril Chami kwa kuweza kufanya kile walichoshindwa watangulizi wako kama kina Ngawaiya, Lyatonga Mrema, Ngatolaoni na wengineo. Katika kipindi cha ubunge wako utakuwa umeacha historia ambayo itadumu miaka mingi ijayo ya kuweka barabara hiyo lami.

Jumanne ya tarehe 16/10/2012 nikiwa katika shughuli za jamii (msiba) nilibahatika kupita hiyo barabara ya Kibosho road - Umbwe na kujionea kazi inayoendelea ya kushindilia vifusi. Nilipofika maeneo ya Kindi nilishangaa kukuta lami lakini kilichonishangaza zaidi ni ubora wa hiyo lami. Nadhani ile itakuwa ni rangi ya lami inayopakwa kwenye barabara na siyo "tarmac road" inayotengenezwa. Mh. Dr. Magufuli hausiki lakini nafahamu wakaguzi wa hiyo miradi (Tanroads) wanasimamiwa na Wizara yake. Ni kichekesho barabara ya lami na tayari kuna na viraka. Mh. Dr Cyril Chami tafadhali wachukue wataalamu wa barabara toka Tanroads ukakague na kujionea hiyo kazi inayofanyika...ni kiini macho hakuna ubora utakaopatikana kwa mtindo huo wa kuweka lami kama unapaka rangi piusi Mallya Mary Chuwa

Huyu magufuri ameshindwa kusimamia barabara za hapa dar,mfano barabara ya kilwa sasa hivi ni masimo/viraka tupu,
 
Last edited by a moderator:
Barabara ya dar-es salaam-Mtwara nayo ina hiyo kitu unayoiita " value for money" au barabara hii haimhusu Magufuli?

Mkuu na ile ya chalinze-kitumbi-segera iliojengwa na wachina 2013 lakini ina viraka utafikiri ya miaka 10 nyuma.
 
Wengi tuliokuwepo miaka hiyo tumeshafariki ,mimi nilifariki sept 2014 kabla aliyepo hajakuwepo...aliye hai anyooshe kidole!
 
Back
Top Bottom