Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Kenya kulikua na hawa:
Kipa Mahamoud Abas/ Washington Muhanji
Defenders : John Okello(Zangii), George Omondi(Fundi), JosephatMurila(SupeController),
Peter Otieno(Basanga), Mike Weche
Strikers: Ambrose Ayoi(Golden Boy), Wiberforce Mulamba na Dr JJ Masiga
Zimbabwe pia walikua wanakuja kucheza pande hizi za Cecafa wakiwa na wachezaji golikipa Japhet Mparutsa, David Mwanza , Sharkman Tauro, Stanley Ndunduma na wengineo
Chama la wana Malawi waliku na kina:
Golikipa: Clement Mkwalula
Walinzi : Dickson Mbetewa, Sesten Zakazaka,Harry Waya na Jack Chamangwana
Viungo: Young Chimodzi, Maloya Siriya
Strikers: Kina Phiri, Laurance Waya n.k
Zambia walikua na kizazi cha nyuma kidogo kina Peter Kaumba na Ashose Meluu(huyu alifariki pia kwenye ajali ya ndege iliyowaua KK 11 yeye akiwa ofisa katika msafara to Gabon). Hawa hawakufanya vizuri sana ila baadae kikaja kile kizazi cha dhahabu ambacho kilikua kinatesa sana CECAFA na Afrika kwa ujumla; Kina Efort Chabala(kipa), Herman Mulunga, Witson Nyirenda, Francis Musiska, Weby Chikabala, Debi Makinka, Numba Mwila, Moses Chikwalakwala n.k.
iIikua burudani sana kuwaona au hata kusikiliza matangazo ya moja kwa moja ya Radio Tanzania
Kipa Mahamoud Abas/ Washington Muhanji
Defenders : John Okello(Zangii), George Omondi(Fundi), JosephatMurila(SupeController),
Peter Otieno(Basanga), Mike Weche
Strikers: Ambrose Ayoi(Golden Boy), Wiberforce Mulamba na Dr JJ Masiga
Zimbabwe pia walikua wanakuja kucheza pande hizi za Cecafa wakiwa na wachezaji golikipa Japhet Mparutsa, David Mwanza , Sharkman Tauro, Stanley Ndunduma na wengineo
Chama la wana Malawi waliku na kina:
Golikipa: Clement Mkwalula
Walinzi : Dickson Mbetewa, Sesten Zakazaka,Harry Waya na Jack Chamangwana
Viungo: Young Chimodzi, Maloya Siriya
Strikers: Kina Phiri, Laurance Waya n.k
Zambia walikua na kizazi cha nyuma kidogo kina Peter Kaumba na Ashose Meluu(huyu alifariki pia kwenye ajali ya ndege iliyowaua KK 11 yeye akiwa ofisa katika msafara to Gabon). Hawa hawakufanya vizuri sana ila baadae kikaja kile kizazi cha dhahabu ambacho kilikua kinatesa sana CECAFA na Afrika kwa ujumla; Kina Efort Chabala(kipa), Herman Mulunga, Witson Nyirenda, Francis Musiska, Weby Chikabala, Debi Makinka, Numba Mwila, Moses Chikwalakwala n.k.
iIikua burudani sana kuwaona au hata kusikiliza matangazo ya moja kwa moja ya Radio Tanzania