Modrizzy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 971
- 1,771
Huu mzigo mara ya mwisho ni 2014 hpo juzi tu nilipigwa malaria moja hatar
Vijana wa town wanakuambia malaria mbwa
Ilikuwa napiga drip moja chloroquine , drip mbili za maji aseeh
Hizo masikio zilikuwa zinaangusha biti hatar ni ziiiiiiiiiiiii ziiiiiiiii diiiiii
Hizi dawa zipo ukiumwa malaria ile yenyew hakuna jins nikukutana nazo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wa town wanakuambia malaria mbwa
Ilikuwa napiga drip moja chloroquine , drip mbili za maji aseeh
Hizo masikio zilikuwa zinaangusha biti hatar ni ziiiiiiiiiiiii ziiiiiiiii diiiiii
Hizi dawa zipo ukiumwa malaria ile yenyew hakuna jins nikukutana nazo tu
Sent using Jamii Forums mobile app