Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,602
- 112,657
Hata hapa tu unaonekana mtata
Khaa!!!Utata ni neno la kiswahili lenye maana ya kwamba mke uliyenaye unamhudumia kwa mambo ya kawaida ila akiwa na hamu ya kufanya mapenzi basi anahudumiwa na mtu mwingine kwanza hadi aridhike ndipo aje amalizie kwako. Ni wako mwana genzi, msani
Neno la msingi HUELEWEKI umemkuta mtoto amependeza mwenyewee uka-mind , mtoto kakubali anakupa utaratibu wake unaanza kujikuna kila eneo lisilowasha.
Kama inaelekeaNeno la msingi HUELEWEKI umemkuta mtoto amependeza mwenyewee uka-mind , mtoto kakubali anakupa utaratibu wake unaanza kujikuna kila eneo lisilowasha.
Itanibidi nicheki nini shida zaidithat means you are undefined nigga, yaani unawamixmix hawakuelewi...
ThrowBack Thursday
Mkuu utata wako huwa kwenye mazungumzo.
Fanya hivyo