Prince toyboy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 375
- 362
Ili iwejeUnawasiliana nae hili iweje?
Ili iwejeUnawasiliana nae hili iweje?
Tumeachana.Umemuacha au mmeachana? Cm znatoka wap sasa?
NB usiwe mwepesi kuachana achana utashindwa kuishi na umpendae
Kipi hicho mkuuunachokitafuta utakipata
Sawa kaka mkubwaHebu Maliza Kukariri Tebo Ya Saba, Mapenzi Utayakuta Tu
aliona tunaishi mbali mbali akatoa wazo la kuachana.Sababu ya ku break ninini?
OkWapigie Vodacom kitengo cha mawasiliano huwa wana hiyo huduma.
OkWengine wanakupigia ili wakwambie uwahi kutumia ARV mkuu usipuuze
Poa mkuu kila la kheri katika mahusiano mapyaSawa kaka mkubwa
Kwa sasa nipo single mkuu.Poa mkuu kila la kheri katika mahusiano mapya
....
Hiyo ni tabia nzuri....usiiache
Ni jambo la kawaida sana
Hivi kwanini mnafuta content ya uzi? Ni kwamba uliona umeandika pumba au? Naomba jibu mkuu tafadhali....
Niliandika pumba mkuu.Hivi kwanini mnafuta content ya uzi? Ni kwamba uliona umeandika pumba au? Naomba jibu mkuu tafadhali
Dah pole sanaNiliandika pumba mkuu.
Nimeshapoa mzee mamaDah pole sana