Wahenga mnamkumbuka mwanandinga huyu?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,505
44,618
Nani anamkumbuka mchezaji huyu?
842c49b1f6879a53645edf383900d8e7.jpeg
 
Hamnaaaa.... Mauro Camoranes huyo
Uko sawa bin sawia.

Huyo ni Mauro Camoranesi mzaliwa wa jijini Bunos Aires nchini Argentina, ambapo alitamba katika klabu ya Juventus Turin almaarufu kama Kibibi Kizeeakicheza kama kiungo/winga wa kulia.

Licha ya kuzaliwa Argentina, aliamua kuchukua uraia wa Italia na kuitumikia nchi hiyo kikamilifu.

Ni mshindi wa Kombe la Dunia, alitwaa akiwa na timu ya taifa ya Italy mwaka 2006 katika fainali zilizofanyika nchini Ujerumani.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom