Wahaya wilayani Misenyi kukatazwa kuzika kwenye miji yao

alibaaliyo

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
622
567
Nimesikia na kusoma habari za chombo cha habari BBC za Wahaya wa wilaya ya Misenyi kukatazwa kuzika kwenye miji yao. Ni mila zao , tamaduni zao za kuhifadhi miili ya wapendwa wao ktk miji yao (nyumbani). Jambo ambalo limesababisha wananchi kuzika wapendwa wao usiku.

Majibu ya Mkuu wa Wilaya ni kuwa lazima kupanga Wilaya ili kupisha maendeleo kama kusambaza umeme, maji na gesi.

Hivi ni kweli waweza kubadiliaha mila za watu ghafla namna hiyo bila watu kukubaliana. Mila ni suala si rahisi kulibadilisha kwa sheria na vitisho.

Wabobezi wa sociolojia wanaweza kusaidia hapo.

Mimi kama Mtanzania nimesikitishwa sana na maamuzi hayo yasitojali tamaduni za wananchi. Hivi kama ni kulipa fidia maendeleo yanapoletwa wananchi wakishirikishwa kuwa kukubali kutolipwa fidia maendeleo yakija kuna shida gani.
Hivi ni kweli Watanzania wanakuwa na hofu mpaka kuzika usiku?.

Hayati JPM wakati ugonjwa wa korona umeingia alisema kuwa watu wazike wapendwa wao kwa mujibu wa tamaduni zao. Wizara ya afya itoe ushirikiano nao kuona Watanzajia wanazika wapendwa wao kwa mujibu wa matakwa ya familia.

Busara kama hizi tunazihitaji ktk maswala yanayohusu tamaduni za watu.
 
Nimesikia na kusoma habari za chombo cha habari BBC za Wahaya wa wilaya ya Misenyi kukatazwa kuzika kwenye miji yao. Ni mila zao , tamaduni zao za kuhifadhi miili ya wapendwa wao ktk miji yao (nyumbani). Jambo ambalo limesababisha wananchi kuzika wapendwa wao usiku.

Majibu ya Mkuu wa Wilaya ni kuwa lazima kupanga Wilaya ili kupisha maendeleo kama kusambaza umeme, maji na gesi.

Hivi ni kweli waweza kubadiliaha mila za watu ghafla namna hiyo bila watu kukubaliana. Mila ni suala si rahisi kulibadilisha kwa sheria na vitisho.

Wabobezi wa sociolojia wanaweza kusaidia hapo.

Mimi kama Mtanzania nimesikitishwa sana na maamuzi hayo yasitojali tamaduni za wananchi. Hivi kama ni kulipa fidia maendeleo yanapoletwa wananchi wakishirikishwa kuwa kukubali kutolipwa fidia maendeleo yakija kuna shida gani.
Hivi ni kweli Watanzania wanakuwa na hofu mpaka kuzika usiku?.

Hayati JPM wakati ugonjwa wa korona umeingia alisema kuwa watu wazike wapendwa wao kwa mujibu wa tamaduni zao. Wizara ya afya itoe ushirikiano nao kuona Watanzajia wanazika wapendwa wao kwa mujibu wa matakwa ya familia.

Busara kama hizi tunazihitaji ktk maswala yanayohusu tamaduni za watu.
Watani zangu wakubwa hawa kwa Ushamba ( Umbwiga ) wao wanapenda Kulala ndani ya Nyumba zao huku nje ya Nyumba zao Makaburi yakiwazunguka kama Mauwa ya Ikulu.
 
Kwa hiyo hii sheria unatekeleza tu Misenyi na sehemu nyingine zenye vijiji kama Miswnyi imekaq kimya.

Haya mambo sio ya kulazimisha. Hakuna aliyelazimisha watu wa mijini kuzika makabila ya jumuia. Ni mazingira tu. Hayo mazingira yakijitokeza watu watabadilika wenyewe sio kuwawekea sheria za tubadilishe mila zao kwa shuruti.
 
Wahaya na watetezi haki za raia mukuje humu tunawasubiri.
Hakuna haki za binadamu wala nini! Huo utaratibu ni wa kizamani na hauendani kabisa na sera za Mipango Miji.

Fuateni taratibu za Mamlaka ya Miji na Madhehebu ya Dini ya kuzika wapendwa wenu katika maeneo rasmi yaliyotengwa, na kwa kulingana na imani zenu.

Haiwezekani kwenye karne ya 21 hii kila nyumba izungukwe na makaburi. Mwisho wa siku mnayageuza kama vijiwe vya kupigia stori, au sehemu za kutupia uchafu.
 
Hakuna haki za binadamu wala nini! Huo utaratibu ni wa kizamani na hauendani kabisa na sera za Mipango Miji.

Fuateni taratibu za Mamlaka ya Miji na Madhehebu ya Dini ya kuzika wapendwa wenu katika maeneo rasmi yaliyotengwa, na kwa kulingana na imani zenu.

Haiwezekani kwenye karne ya 21 hii kila nyumba izungukwe na makaburi. Mwisho wa siku mnayageuza kama vijiwe vya kupigia stori, au sehemu za kutupia uchafu.
Sera ya mipango miji isiyozingatia mila na desturi za wananchi wenye ardhi yao!!. Watu wamekuwa wana mila zao karne na karne na makaburi yao wanayaheshimu, inakuwaje walazimishwe mambo ambayo sio ya msingi na sio dharura, jitafakari.
 
Sera ya mipango miji isiyozingatia mila na desturi za wananchi wenye ardhi yao!!. Watu wamekuwa wana mila zao karne na karne na makaburi yao wanayaheshimu, inakuwaje walazimishwe mambo ambayo sio ya msingi na sio dharura, jitafakari.
Nijitafakari mimi, au wewe na hao wenzako mnao endekeza hizo mila zenu zilizopitwa na wakati?
 
Nimesikia na kusoma habari za chombo cha habari BBC za Wahaya wa wilaya ya Misenyi kukatazwa kuzika kwenye miji yao. Ni mila zao , tamaduni zao za kuhifadhi miili ya wapendwa wao ktk miji yao (nyumbani). Jambo ambalo limesababisha wananchi kuzika wapendwa wao usiku.

Majibu ya Mkuu wa Wilaya ni kuwa lazima kupanga Wilaya ili kupisha maendeleo kama kusambaza umeme, maji na gesi.

Hivi ni kweli waweza kubadiliaha mila za watu ghafla namna hiyo bila watu kukubaliana. Mila ni suala si rahisi kulibadilisha kwa sheria na vitisho.

Wabobezi wa sociolojia wanaweza kusaidia hapo.

Mimi kama Mtanzania nimesikitishwa sana na maamuzi hayo yasitojali tamaduni za wananchi. Hivi kama ni kulipa fidia maendeleo yanapoletwa wananchi wakishirikishwa kuwa kukubali kutolipwa fidia maendeleo yakija kuna shida gani.
Hivi ni kweli Watanzania wanakuwa na hofu mpaka kuzika usiku?.

Hayati JPM wakati ugonjwa wa korona umeingia alisema kuwa watu wazike wapendwa wao kwa mujibu wa tamaduni zao. Wizara ya afya itoe ushirikiano nao kuona Watanzajia wanazika wapendwa wao kwa mujibu wa matakwa ya familia.

Busara kama hizi tunazihitaji ktk maswala yanayohusu tamaduni za watu.
Achana na mila za kisengerema mkuu, sehemu za makaburi zipo kwanini uzikie home?
 
Back
Top Bottom