mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,287
- 793
Ni vema ukatafuta mwanaume/mwanamke nshomile uzae watoto wenye akili. Nilshawahi kufika UHAYANI yani wale jamaa ukifika watakuuliza matokeo yako au ya wanao, tambwe zao ni elimu ya wanao au yako, kinyume na hapo hata kama una mipesa kiasi gani, Utaonekana mbumbumbu tu.
Hii ni list ya matokeo ya CSEE( Form 4) , kama unavyojionea
1. Shule ya kwanza ni KEMEBOS-KAGERA
2. Halmashauri bora sasa naona Bukoba wa 2 hlf kw mbali naon moshi
3.Top 10, kuna wahaya 4 kila group i.e wanaume na wanawake
Sasa wachagga msione tumekaa kimya mkaanzisha viuzi vya matokeo ya darasa la 7 sijui form 2 mkaona mnatuweza, sisi tunawachora tu
Hii ni list ya matokeo ya CSEE( Form 4) , kama unavyojionea
1. Shule ya kwanza ni KEMEBOS-KAGERA
2. Halmashauri bora sasa naona Bukoba wa 2 hlf kw mbali naon moshi
3.Top 10, kuna wahaya 4 kila group i.e wanaume na wanawake
Sasa wachagga msione tumekaa kimya mkaanzisha viuzi vya matokeo ya darasa la 7 sijui form 2 mkaona mnatuweza, sisi tunawachora tu