Hao bado watoto wanapata 100% masomo yote it’s not realistic.Na wa tatu ni muhaya mzr tu.mtasingwa.
Vip umeangalia walioongoza form two na darasa la nne
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao bado watoto wanapata 100% masomo yote it’s not realistic.Na wa tatu ni muhaya mzr tu.mtasingwa.
Vip umeangalia walioongoza form two na darasa la nne
Sent using Jamii Forums mobile app
Msingi nilisoma na wahaya,walisubiri sana hawakunipita.Wahaya wachaga nilikuwa nawaburuza sana.Niligundua sisi watu wake kigoma ni noma ila mazingira ya kigoma si rafiki kwa watoto kusoma,uswahili mwingi.Ni vema ukatafuta mwanaume/mwanamke nshomile uzae watoto wenye akili. Nilshawahi kufika UHAYANI yani wale jamaa ukifika watakuuliza matokeo yako au ya wanao, tambwe zao ni elimu ya wanao au yako, kinyume na hapo hata kama una mipesa kiasi gani, Utaonekana mbumbumbu tu.
Hii ni list ya matokeo ya CSEE( Form 4) , kama unavyojionea
1. Shule ya kwanza ni KEMEBOS-KAGERA
2. Halmashauri bora sasa naona Bukoba wa 2 hlf kw mbali naon moshi
3.Top 10, kuna wahaya 4 kila group i.e wanaume na wanawake
Sasa wachagga msione tumekaa kimya mkaanzisha viuzi vya matokeo ya darasa la 7 sijui form 2 mkaona mnatuweza, sisi tunawachora tu
One among millionsMsingi nilisoma na wahaya,walisubiri sana hawakunipita.Wahaya wachaga nilikuwa nawaburuza sana.Niligundua sisi watu wake kigoma ni noma ila mazingira ya kigoma si rafiki kwa watoto kusoma,uswahili mwingi.
Sorry haya. Ni matokeo ya form 2 .Hiyo KEMEBOS ingekuwa shule ya kata hapo tungesema wahaya hatari kwa habati mbaya hiyo shule mpaka watoto wa kichaga wapo
Wandengereko endeleeni kuvua samaki na kula ubwabwa!!Tumefikia uku kama taifa ama kweli tanzania tuna safari ndefu sana sisi wandengereko tunaishije sasa.
Akili ni nini? Na inapatikana wapi kwenye ubongo?na mtu asiye na akili unamtambuaje?Ni vema ukatafuta mwanaume/mwanamke nshomile uzae watoto wenye akili. Nilshawahi kufika UHAYANI yani wale jamaa ukifika watakuuliza matokeo yako au ya wanao, tambwe zao ni elimu ya wanao au yako, kinyume na hapo hata kama una mipesa kiasi gani, Utaonekana mbumbumbu tu.
Hii ni list ya matokeo ya CSEE( Form 4) , kama unavyojionea
1. Shule ya kwanza ni KEMEBOS-KAGERA
2. Halmashauri bora sasa naona Bukoba wa 2 hlf kw mbali naon moshi
3.Top 10, kuna wahaya 4 kila group i.e wanaume na wanawake
Sasa wachagga msione tumekaa kimya mkaanzisha viuzi vya matokeo ya darasa la 7 sijui form 2 mkaona mnatuweza, sisi tunawachora tu
wao wahaya wakifika vyuoni wataishia kuwa machangu mjiniNi vema ukatafuta mwanaume/mwanamke nshomile uzae watoto wenye akili. Nilshawahi kufika UHAYANI yani wale jamaa ukifika watakuuliza matokeo yako au ya wanao, tambwe zao ni elimu ya wanao au yako, kinyume na hapo hata kama una mipesa kiasi gani, Utaonekana mbumbumbu tu.
Hii ni list ya matokeo ya CSEE( Form 4) , kama unavyojionea
1. Shule ya kwanza ni KEMEBOS-KAGERA
2. Halmashauri bora sasa naona Bukoba wa 2 hlf kw mbali naon moshi
3.Top 10, kuna wahaya 4 kila group i.e wanaume na wanawake
Sasa wachagga msione tumekaa kimya mkaanzisha viuzi vya matokeo ya darasa la 7 sijui form 2 mkaona mnatuweza, sisi tunawachora tu
Tunashukuru mkuu endeleeni kutubagua jiwekeni tu na mkariri vizuri mitihani mmpate A na sio mpate maarifa ya kutukwamua watanzania maana usomi wenu hauna manufaa tz hatuna technology ata toothpick injinia wakihaya anashindwa unda.Wandengereko endeleeni kuvua samaki na kula ubwabwa!!
ibadilisheni Bukoba sasa mnajiita hatari mnakimbia kwenu mnaenda kuikuza miji ya wenzenu ukifika mji umezubaa kama upo tanganyika ya mwaka 1970Sorry haya. Ni matokeo ya form 2 .
Asilimia 98 ya wanafunz ni wahaya watupuView attachment 1321257
Sent using Jamii Forums mobile app
muhaya elimu yake nimajivuno. Actuar na nunua vogi... Na vitoto mmetisha sana... Jungu pia hampo mbaliNi vema ukatafuta mwanaume/mwanamke nshomile uzae watoto wenye akili. Nilshawahi kufika UHAYANI yani wale jamaa ukifika watakuuliza matokeo yako au ya wanao, tambwe zao ni elimu ya wanao au yako, kinyume na hapo hata kama una mipesa kiasi gani, Utaonekana mbumbumbu tu.
Hii ni list ya matokeo ya CSEE( Form 4) , kama unavyojionea
1. Shule ya kwanza ni KEMEBOS-KAGERA
2. Halmashauri bora sasa naona Bukoba wa 2 hlf kw mbali naon moshi
3.Top 10, kuna wahaya 4 kila group i.e wanaume na wanawake
Sasa wachagga msione tumekaa kimya mkaanzisha viuzi vya matokeo ya darasa la 7 sijui form 2 mkaona mnatuweza, sisi tunawachora tu
Who the cap fit let them wear it. Wahaya are generally bright.