huyo nishamjibu hiyo comment yake ya juu aliotaka kupotosha uchagan hakuna mila mbovu hivyo
Na wewe umekuwa msukuma? Da mbona unampondaga sana nyani?Wasukuma tunaita chagulaga
Kautaratibu nimekapenda, ningeenda kwa mheshimiwa fulaniii
Nyani Ngabu ni MnyantuzuNa wewe umekuwa msukuma? Da mbona unampondaga sana nyani?
niko ya nini mimi wakati m2 yuko siriaz na wahaya kila wahaya wakiwemo humo.yaap ndio maana ukimwi uliwatafuna sana
Walikuwa wanakwapua tuhata wachaga walikuwa na mila inayotaka kufanana na hiyo
Kumbe.Huu utaratibu hata kwetu kule Mara ulikuwepo. Ni utaratibu mzuri sana.
Kwa ujumla ni utamaduni wa sisi wa lake zone.
Haya mambo ya wazungu ndio yanatuharibia tamaduni zetu, leo binti anataka umpigie magoti upropose eti umuombe will you marry me? Tena kwa kingereza, usipofanya hivyo hakukubali, mambo ya kipumbavu kabisa.
Wazungu wameharibu kila kitu chetu ila kwao utamafuni wao uko vile vile, walikuja na mke mmoja, sasa wanasema hakuna haja ya mwanamke tena sasa ni mwanaume mwenzako ndio unatakiwa uoe, hovyo kabisa.
Wachaga hatunaga hii kituWalikuwa wanakwapua tu
aka mzee wa kukurupuka, aka mzee wa kikokotoo aka mzee wa koroshow aka asiyejaribiwa aka mzee wa kulala nao mbele...Mimi ningeenda kumteka mtoto wa jiwe a.k.a Kipara .a.k.a sijaribiwi a.k.a wasiojulikana a.k.a Mzee wa Bombadiiiiiiiiii! a.k.a Mzee wa Stigglers gorge!
Mimi ningemteka mzee mwenzangu Naibu Faru Tulia Ackson Na Anne Makinda
HahahaNakumbuka nikiwa mdogo kuna dada yangu alikwapuliwa nililia siku mbili mfululizo hadi pale nilipodanganywa kwa kupewa soda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ipo uhayani?? Waulize wa Dar ndo wakwambie vizuri kuhusu hii. Ha ha haaaaPia dizain nyingine huko Uhayani ni hii ya binti kung'ang'ania geto kwa mwanaume.
Mfano leo umemwita binti kaja kwako anaacha nguo moja.. Kesho ukamuhitaji tena anaacha nyingine.. Keshokutwa mtondogoo vivohivo mpaka inafika siku ya siku anakwambia siendi hom kwani tayari nguo za kutosha kubadilisha zipo huku na ndo ntolee tayari ushamuwowa haha
Cc Smart911
Mbona usukumani huu utaratibu upo kwa jina la chagulaga!Utamaduni wa watu wa nchini Kyrgyzstan unaruhusu kijana wa kiume kumteka kwa nguvu binti yeyote anayetaka kufunga naye ndoa.
Huu utaratibu ulikuwepo hata kwa wahaya, ukimtaka binti akazingua, unamsubiria, alafu unamkwapua unamfungia kwako week mbili, anakubaliana na matokeo,
Sasa huko Kyrgyzstan yapo pia
Yaani endapo kijana wa kiume atampenda binti fulani basi anaweza kuwachukua rafiki zake ili wakamteke binti huyo na kutumia nguvu kumpeleka nyumbani kwa kijana kwa lengo la kufunga naye ndoa bila kujali kama binti atakubali ama la.
Huu ni utaratibu halali kabisa huko Kyrgyzstan!
Endapo Tanzania ikiweka utaratibu huu
Wewe utamteka nani?
View attachment 774014