Wahaya Bwana- Kagera Day Balaa Tupu!

MzalendoHalisi

JF-Expert Member
Jun 24, 2007
4,514
1,360
Kagera Day ni balaa

Uchangiaji fedha katika siku ya Kagera day ni vituko tupu. Kiasi cha
shilingi Bilioni 1.4 zilichangwa mbele ya Lowasa ikiwa nipamoja na zawadi.

1. Prof. Rweikiza wa Marekani- Sh. milioni 50

2. Prof.Rutashobya wa Chuo kikuu cha Havard-Milioni 40

3. Prof. Rweyimamu wa Afrika Kusini hakuweza kuja leo lakini ametuma
hundi ya USD 20000

4. Prof Rwabuyongo wa Ufaransa ametoa Sh. millioni 20

5. Prof. Rwebangira yeye amemtuma mkewe Kokushubira na yupo hapa na
Cash. Milioni 15000 amechelewa ndege ifwakti akitokea kutoa matibabu
Canada kwa mgonjwa anaye mhudumia huko.

6. Prof. Kokubenza ambaye nimewasiliana naye kwa simu na amedai kuwa
ameshikwa na mafua amesema hakuna tatizo tumtume mtu aende London
akachuklue Milioni 45.

7. Dk. Kagirwa huyu alikuwa Mzumbe miaka ya 90 lakini sasa yupo chuo
Kikuu cha Oxford amesema atatoa milioni 30.

8. Dk. Muganyizi ametoa milioni 20.

9. Dk. Mchunguzi ambaye sasa anamalizia Reseach yake ili aupate
Uprofesa amesema yeye na mkewe ambaye ametunukiwa PhD juzi hapo
mlimani pamoja na mtoto wao Rwechungura atatoa milioni 20.

10. Wengine wengi kama akina Katabazi, Kavodago, Kaceritale,
Kazenitalema, Katalyeba na akina Kokushuma wao wametoa kiasi kidogo na
wao wamekaa kule nyuma hata hatukuona haja ya kukupa mkono kwa kuwa
wametoa cash milioni kati ya 5 na 9. Pia mheshimiwa hawa nikuwa wana
Masters tu ndo hata tumeona elimu bado ndogo sio sawa na akina Rwegasira.
 
Ebu tafuteni vitu vingine vya kusema,maana huu ni mchango amabao watu wameamua kuchanga kwa nia zao ili kuleta maendeleo,hapa kwenye mchango hamna kujidai wala nini,ebu tuwe wawazi juu ya hili.Na hii inaonyesha ni jinsi gani walivyona nia ya kuchangia kwa lengo la kuleta maendeleo,wanaelewa nini maana ya maendeleo na nafasi ya mtu binafsi katika kuisaidia jamii.
 
Ebu tafuteni vitu vingine vya kusema,maana huu ni mchango amabao watu wameamua kuchanga kwa nia zao ili kuleta maendeleo,hapa kwenye mchango hamna kujidai wala nini,ebu tuwe wawazi juu ya hili.Na hii inaonyesha ni jinsi gani walivyona nia ya kuchangia kwa lengo la kuleta maendeleo,wanaelewa nini maana ya maendeleo na nafasi ya mtu binafsi katika kuisaidia jamii.

Audax,

We vipi? hii ni thread ya udaku na utani!!

Sasa nini hapo hakieleweki??
 
hahahhah,that's hilarious!...si utani maombwenu kwa misifa ucpime!..hahah
hiyo hitimisho ndo inaua,hahah!
 
Hivi nini kimefanika Tangu hela hizo zikusanywe mwaka mmoja na nusu uliopita?? Je ilikuwa sawa na fashion show ama?????

WAZEE WA KUCHOMA NDIZI
 
Kagera Day ni balaa

Uchangiaji fedha katika siku ya Kagera day ni vituko tupu. Kiasi cha
shilingi Bilioni 1.4 zilichangwa mbele ya Lowasa ikiwa nipamoja na zawadi.

1. Prof. Rweikiza wa Marekani- Sh. milioni 50

2. Prof.Rutashobya wa Chuo kikuu cha Havard-Milioni 40

3. Prof. Rweyimamu wa Afrika Kusini hakuweza kuja leo lakini ametuma
hundi ya USD 20000

4. Prof Rwabuyongo wa Ufaransa ametoa Sh. millioni 20

5. Prof. Rwebangira yeye amemtuma mkewe Kokushubira na yupo hapa na
Cash. Milioni 15000 amechelewa ndege ifwakti akitokea kutoa matibabu
Canada kwa mgonjwa anaye mhudumia huko.

6. Prof. Kokubenza ambaye nimewasiliana naye kwa simu na amedai kuwa
ameshikwa na mafua amesema hakuna tatizo tumtume mtu aende London
akachuklue Milioni 45.

7. Dk. Kagirwa huyu alikuwa Mzumbe miaka ya 90 lakini sasa yupo chuo
Kikuu cha Oxford amesema atatoa milioni 30.

8. Dk. Muganyizi ametoa milioni 20.

9. Dk. Mchunguzi ambaye sasa anamalizia Reseach yake ili aupate
Uprofesa amesema yeye na mkewe ambaye ametunukiwa PhD juzi hapo
mlimani pamoja na mtoto wao Rwechungura atatoa milioni 20.

10. Wengine wengi kama akina Katabazi, Kavodago, Kaceritale,
Kazenitalema, Katalyeba na akina Kokushuma wao wametoa kiasi kidogo na
wao wamekaa kule nyuma hata hatukuona haja ya kukupa mkono kwa kuwa
wametoa cash milioni kati ya 5 na 9. Pia mheshimiwa hawa nikuwa wana
Masters tu ndo hata tumeona elimu bado ndogo sio sawa na akina Rwegasira.

Hayo majina mwisho wa mawazo!
 
Kagera Day ni balaa

Uchangiaji fedha katika siku ya Kagera day ni vituko tupu. Kiasi cha
shilingi Bilioni 1.4 zilichangwa mbele ya Lowasa ikiwa nipamoja na zawadi.

1. Prof. Rweikiza wa Marekani- Sh. milioni 50

2. Prof.Rutashobya wa Chuo kikuu cha Havard-Milioni 40

3. Prof. Rweyimamu wa Afrika Kusini hakuweza kuja leo lakini ametuma
hundi ya USD 20000

4. Prof Rwabuyongo wa Ufaransa ametoa Sh. millioni 20

5. Prof. Rwebangira yeye amemtuma mkewe Kokushubira na yupo hapa na
Cash. Milioni 15000 amechelewa ndege ifwakti akitokea kutoa matibabu
Canada kwa mgonjwa anaye mhudumia huko.

6. Prof. Kokubenza ambaye nimewasiliana naye kwa simu na amedai kuwa
ameshikwa na mafua amesema hakuna tatizo tumtume mtu aende London
akachuklue Milioni 45.

7. Dk. Kagirwa huyu alikuwa Mzumbe miaka ya 90 lakini sasa yupo chuo
Kikuu cha Oxford amesema atatoa milioni 30.

8. Dk. Muganyizi ametoa milioni 20.

9. Dk. Mchunguzi ambaye sasa anamalizia Reseach yake ili aupate
Uprofesa amesema yeye na mkewe ambaye ametunukiwa PhD juzi hapo
mlimani pamoja na mtoto wao Rwechungura atatoa milioni 20.

10. Wengine wengi kama akina Katabazi, Kavodago, Kaceritale,
Kazenitalema, Katalyeba na akina Kokushuma wao wametoa kiasi kidogo na
wao wamekaa kule nyuma hata hatukuona haja ya kukupa mkono kwa kuwa
wametoa cash milioni kati ya 5 na 9. Pia mheshimiwa hawa nikuwa wana
Masters tu
ndo hata tumeona elimu bado ndogo sio sawa na akina Rwegasira.

kwikwikwi tehetehe kazi kwelikweli, masters ni ndogo? kweli wahaya wanajisifu
 
Kwani kuna Wahaya wanaume?

kwani hujui? subiri ukutane nao wakati ukitoka kuiba NGOMBE ndio utawajua mpaka utamsimuRia mama Bhoke.

Wengine mnavamia THREAD nakuchangia bila kuanglia iko kwenye forum gani, MODS mnakazi kubwa ya kutueleimisha hapa
 
Hivi nini kimefanika Tangu hela hizo zikusanywe mwaka mmoja na nusu uliopita?? Je ilikuwa sawa na fashion show ama?????

WAZEE WA KUCHOMA NDIZI

Project tayari zipo kwenye pipeline mkuu.... Infwakt, unaweza angalia ukurasa wa tovuti ya mkoa hapo chini kupata data zaidi.

TOVUTI YA MKOA WA KAGERA ...............


Utani pembeni.
Siku hiyo (Kagera Day 2007) rasilimali zenye thamani ya TShs. 1,500,000,000 (Bilioni moja na nusu) ziliahidiwa au/na kutolewa.
Nguvu za wananchi ni njia njema kusaidia maendeleo. Tanzania tuhimize utamaduni wa responsible 'fund raising' katika masuala kama Elimu na Afya.
 
Last edited:
Project tayari zipo kwenye pipeline mkuu.... Infwakt, unaweza angalia ukurasa wa tovuti ya mkoa hapo chini kupata data zaidi.

TOVUTI YA MKOA WA KAGERA ...............

epigenetics,

Ahsante Mkuu!

Ni tovuti nzuri..mie napenda sana BKB na Wilaya zote nimefika!

Sasa ktk hii kutengeneza tovuti- what is the level of seriousness? Yaani Cut paste habari ya Mbeya?? Huyu mtu anayehusika na hii tovuti anawaangusha! Tafauteni mtu qualified and serious!

Hii thread ipo ktk utani/udaku ila this cut and paste thing sii utani ni serious!

See below habari za Bukoba Rural!

The economy of Mbeya region, like that of other regions in the country mainly depends on subsistence agriculture. About 80 percent of Mbeya population depend on agriculture, and the rest of the people depend on livestock-keeping, fishing, small-scale industrial activities, shop-keeping, minor mining and other petty business. It is also reported that over 40 percent of the Regional Gross Domestic Product (RGDP) is derived from the Agriculture.
 
Last edited:
epigenetics,

Ahsante Mkuu!

Ni tovuti nzuri..mie napenda sana BKK na Wilaya zote nimefika!

Sasa ktk hii kutengeneza tovuti- what is the level of seriousness? Yaani Cut paste habari ya Mbeya?? Huyu mtu anayehusika na hii tovuti anawaangusha! Tafauteni mtu qualified and serious!

Hii thread ipo ktk utani/udaku ila this cut and paste thing sii utani ni serious!

See below habari za Bukoba Rural!

That is a serious blunder.........
 
Kwanza ongereni wana Kagera kwakuwa na website. Nimejaribu kupitia hizi website za mikoa naona kama zinafanana. Its like anayezitengeneza ni mtu mmoja au hao wengine wote wamedesa kutoka kwa aliyetengeneza ya kwanza. Hivyo makosa yaliyo kwenye tovuti ya kagera yanaweza pia kuwa kwenye nyingine. Lakini ni kosa kubwa sana inaonyesha jamaa hayuko makini. Watu inabidi tubadilike inapokuja kazi lazima uifanye kazi kwa uwezo wako wote na kujiridhisha kuwa kila kitu kiko safi.
 
Nilitaka nizimie mimi kumba hii thread iko kwenye jokes/utani! Khaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom