Sasa kwa Bashite unataka profession ya nini wakati qualification kwa mujibu wa katiba in kusoma na kuandika? Na wewe kumbe kanjanja tu.Bashite mwenyewe alikuwa ana chelacheka so unprofessional niliyemuona anaongea ya maana ni Ruge tu
nilishanga deogratius balile alikuwa kapoa kuliko kawaida yake hasa pale haki inapominywa huwa mbogo.Walishapewa bahasha za khaki hao
Clouds na Makonda wamewachezesha SegereHawana lolote,Bashite alishawaweka mfukoni kwake.
Anaewaongoza hawa wahariri kwa hili swala.... lazima ajitathmini
Kabisa mkuu.....hawana maana kusikilizwazamani nilikuwa nawaamini sana hawa jamaa....dah...sijawahi kuwadharau kama sasa...ni bure kabisa....
Hawana msimamoKikao cha harusi; Main objective ya kikao iko wazi lakini conclusion inafanywa kwa kuikwepa main objective badala yake zinatumika general objectives.