jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Mkuu unachanganya mapapai na mapera.mkuu vyovyote vile lakini habari hii huwezi kumlaumu Ridhiwani...
mwenye hoteli alikuwa na mamlaka ya kukataa ugeni wa Ridhiwani na kutetea wateja wake wengine
tusikimbilie kulaumu watu tu.Kama yeye Ridhiwani yuko convinced anahitaji security
ya uhakika kwa maisha yake sisi wengine tunaweza vipi kusema hakuna haja ya hilo??????
wanaosema Ridhiwani ni nani ni wapumbavu, hata watoto wa Obama wanapewa security...
muhimu ni kuzingatia hiyo security iko vipi, cost zake,na ni vipi haitakuwa kero kwa wengine
kwa hili aliesababisha kero sio Ridhiwani ni wamiliki wa hoteli
Kama wangenyimwa vyumba hapo malaika kwa sababu Ridhiwani tayari alikuwa kesha book room hapo,basi pengine ingemake sense.
Lakini hili la kuwafukuza,halimake sense hata kidogo,kulikuwa na emergency gani ambayo ilihalalisha kuwafukuza?Nchi si ya ufalme hii.Ni ubwanyenye tu na ganzi ndani ya ubongo inayotokana na ulevi wa madaraka,basi.
Nilisema pia kuwa katiba inawapa mwanya,na ulevi unaotokana na ubovu wa katiba ndo mambo kama haya..
Lakini wabongo wa kawaida wala hii si big deal,ndo hapo pa kushangaza.
Nawashauri waandishi waichukulie hii kama changamoto ili kujuwa mwisho wake.