Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,081
- 1,094,965
We kibabu,tume ya katiba ina rais wake. Magufuli rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hutaki meza wembe
Ni Rais wa tume we bibi kizee
Ni Rais wa tume we bibi kizee
Kwa hisani ya watu wa mwanza
Na hii ni hatua ya mwanzo , huko mbele ni balaa !Wamemchoka na drama zake
Kwani lazima mitazamo yetu iwe sawa?Mi sijasema kuhusu comments nimekuambia jipange kimtazamo
Kairuki tumbo limevimba sijui nani kamvimbishaUmesikia Rais anasaka mchumba?
Uchochezi huu sasa....Magazeti karibu yote hata lile la chama uhuru, yamempa nafasi kubwa Mh. Nyalandu kuliko Rais wetu mpendwa na ziara yake ya Mwanza.
Kwa mtazamo wangu, Rais alipaswa kupewa nafasi kubwa kwa kuwa alikuwa anazungumzia maendeleo ya nchi, hivyo ilikuwa fulsa nzuri kwa magazeti kutushawishi sisi watanzania tusome nn Rais wetu mpendwa kasema badala yake wanatushawishi kusoma habari ya Nyalandu kung'oka CCM ilhali haitatusaidia kitu